App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

Vipi lile konokono mmeliondoa?. Na tulio na app ya zamani inakuwaje tukitaka kutumia mpya taarifa zetu hazitopotea kulazimisha tuanze upya?.
 
Labda hiyo itakua user friendly maana ile ya zamani ilikua mbaya sana. Nilifuta chap
 
Mnaotumia app, Jee inaomba kupewa access ya nini na nini?

Nakumbuka miaka hiyoooooo nikataka kuitumia mara eti ione contacts zangu... Nili ifyeka fasta.. Hadi leo mie na browser tu.. Muhimu kwangu kusoma tu yaliyomo

Na ya Mange nayo ikawaga hivyo enzi zileee

Ilikuwa usipoikubali basi inakataa.. Nikasema JF ndio enzi watu wanajiachia na kukutana.. Sasa mimi sikuwa nataka hayo humu hadi kesho. Humu ni humu tu...
 
Pia app mpya iwekeeni pages, na zile arrows za kushuka chini kabisa ama juu kabisa mwa thread. Hii app mpya haina hizo options.
Screenshot_20260811_135037_Chrome.jpg


Screenshot_20260811_135108_Chrome.jpg


Hii app mpya haina hizo options.
 
Mnaotumia app, inaomba kupewa access ya nini na nini. Nakumbuka miaka hiyoooooo nikataka kuitumia mara eti ione contacts zangu... Nili ifyeka fasta.. Hadi leo mie na browser tu.. Muhimu kwangu kusoma tu yaliyomo

Na ya Mange nayo ikawaga hivyo enzi zileee

Ilikuwa usipoikubali basi inakataa.. Nikasema JF ndio enzi watu wanajiachia na kukutana.. Sasa mimi sikuwa nataka hayo humu hadi kesho. Humu ni humu tu...
Sasa si bora inayouliza?

Kwenye simu yako apps nyingi za nje ya nchi zinaaccess data zako automatically.

Ukiwa mjanja, unaingia kwenye setting unazima.hizo access.
 
Changamoto nimeiona ukiwa unasoma thread baada ya kufika mwisho. Ukirudi tena kwenye hiyo hiyo thread inakurudisha tena mwanzo kabisa uanze upya badala ya kuendelea pale ulipoishia
 
Back
Top Bottom