verify
JF-Expert Member
- Dec 31, 2024
- 1,294
- 3,079
Bado haipo mkuuBado hawaja update hao wanasubiri ije kule playstore Kwanza ndo walwtw kwao... Wanaweza kukaa hata siku kadhaa bila update... Nenda playstore moja kwa moja. Kama imeshawekwa
Bado haipo mkuuBado hawaja update hao wanasubiri ije kule playstore Kwanza ndo walwtw kwao... Wanaweza kukaa hata siku kadhaa bila update... Nenda playstore moja kwa moja. Kama imeshawekwa
Yes bado hawaja ruhusu GoogleBado haipo mkuu
Mimi ni website kufa na kuzikana.. App sizielewagi sijui ni mimi mwenyewe tuu.. Kikubwa niko ndani ya JFWakuu,
Nachukua fursa hii kuwafahamisha kuhusu ujio wa App Mpya ya JamiiForums!
Hii sio update ya kawaida, bali tumeisuka upya kuanzia chini. Haya ni baadhi ya mambo mapya (features):
Brand-New Interface (Muonekano Mpya kabisa) - Tume-design app iwe cleaner, faster, na more readable. Tumezingatia suala la mobile-first experience. Kusoma nyuzi (threads) sasa hivi ni rahisi na haichoshi macho. Ukiitumia utaelewa naongelea nini.
View attachment 3647685
View attachment 3647686
View attachment 3647688
JamiiCheck Imerahisishwa - Tumeongeza sehemu maalum (dedicated place) kwa ajili ya mada zote zilizofanyiwa fact-checking. Sasa itakuwa rahisi sana kuziona taarifa zilizochakatwa JamiiCheck.
FichuaUovu Katika Feed Moja - Kwa wale wapigania haki, sasa unaweza kuwasilisha KERO, DOKEZO au HOJA na kufuatilia uwajibikaji wake. Aidha, imekuwa rahisi kuona submissions zote kutoka kwa wadau kwenye feed moja.
Switch Regions (Chagua Nchi Yako)
JamiiForums inakua, hivyo kila tutakapokuwa tunatoa huduma patahitaji kuhudumiwa bila kuingiliana! Sasa unaweza kuchagua nchi yako (Tanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, n.k.) na kuona trending discussions zilizo karibu na wewe. Tunalenga kurahisisha mijadala ya eneo flani kujadiliwa kwa lugha wanayotaka bila kuingiliana.
Smoother Threads - Kwenye nyuzi ndefu (huge threads), sasa unaweza ku-jump kwenda kwenye post ya kwanza, ya mwisho, au pale ulipoishia kusoma (last-read post) kwa click moja tu. Pia, replies zitakuwa zina-load automatic kadri unavyo-scroll chini (infinite scroll). Mfumo wa replies umebadilishwa.
Composer Mpya (Eneo la Uandishi limeboreshwa) - Sehemu ya kuandika mada au comments imesukwa upya. Tumeleta rich text editor yenye BBCode inayoendana na App. Ku-format maandishi yako, ku-upload picha (images), na kuweka files sasa ni seamless kwa sasa.
App tayari ipo hewani. Fanyeni ku-update au ku-download, kisha mtupatie feedback. Maoni yenu ni muhimu sana ili tuendelee kuiboresha zaidi.
MSISITIZO: Feedback itasaidia kuondoa kasoro zitakazoianishwa na kuiboresha zaidi App ili iweze kurahisisha upatikanaji na matumizi ya JamiiForums.
Jamii forum is a GOAT in the media industryWakuu,
Nachukua fursa hii kuwafahamisha kuhusu ujio wa App Mpya ya JamiiForums!
Hii sio update ya kawaida, bali tumeisuka upya kuanzia chini. Haya ni baadhi ya mambo mapya (features):
Brand-New Interface (Muonekano Mpya kabisa) - Tume-design app iwe cleaner, faster, na more readable. Tumezingatia suala la mobile-first experience. Kusoma nyuzi (threads) sasa hivi ni rahisi na haichoshi macho. Ukiitumia utaelewa naongelea nini.
View attachment 3647685
View attachment 3647686
View attachment 3647688
JamiiCheck Imerahisishwa - Tumeongeza sehemu maalum (dedicated place) kwa ajili ya mada zote zilizofanyiwa fact-checking. Sasa itakuwa rahisi sana kuziona taarifa zilizochakatwa JamiiCheck.
FichuaUovu Katika Feed Moja - Kwa wale wapigania haki, sasa unaweza kuwasilisha KERO, DOKEZO au HOJA na kufuatilia uwajibikaji wake. Aidha, imekuwa rahisi kuona submissions zote kutoka kwa wadau kwenye feed moja.
Switch Regions (Chagua Nchi Yako)
JamiiForums inakua, hivyo kila tutakapokuwa tunatoa huduma patahitaji kuhudumiwa bila kuingiliana! Sasa unaweza kuchagua nchi yako (Tanzania, Kenya, Rwanda, Uganda, n.k.) na kuona trending discussions zilizo karibu na wewe. Tunalenga kurahisisha mijadala ya eneo flani kujadiliwa kwa lugha wanayotaka bila kuingiliana.
Smoother Threads - Kwenye nyuzi ndefu (huge threads), sasa unaweza ku-jump kwenda kwenye post ya kwanza, ya mwisho, au pale ulipoishia kusoma (last-read post) kwa click moja tu. Pia, replies zitakuwa zina-load automatic kadri unavyo-scroll chini (infinite scroll). Mfumo wa replies umebadilishwa.
Composer Mpya (Eneo la Uandishi limeboreshwa) - Sehemu ya kuandika mada au comments imesukwa upya. Tumeleta rich text editor yenye BBCode inayoendana na App. Ku-format maandishi yako, ku-upload picha (images), na kuweka files sasa ni seamless kwa sasa.
App tayari ipo hewani. Fanyeni ku-update au ku-download, kisha mtupatie feedback. Maoni yenu ni muhimu sana ili tuendelee kuiboresha zaidi.
MSISITIZO: Feedback itasaidia kuondoa kasoro zitakazoianishwa na kuiboresha zaidi App ili iweze kurahisisha upatikanaji na matumizi ya JamiiForums.
Mimi hapa. App ile ya kwanza niliipenda sana, kuondolewa kwa ile app ilikuwa sababu mojawapo iliyonifanya nisitumie Jf kwa kipindi kirefu, imechukua muda sana kuizoea hii mpyaWale wasiopenda mabadiliko haya ni maumivu mengine😀
Futa App ya Zamani, ukidownload tena unapata mpya...Looks like Android; let me do something. Wamechelewa kuipitisha hii update.
Wa Apple ndo imewahi
Sasa na wewe si uwaombee heri na baraka kabla hujawaza huko?😒😒😒Ubarikiwe sana mkuu Kwa kuifanya Tanzania, pamoja na changamoto lukuki unazokutana nazo, sehemu bora ya kuishi.
Mimi nilishawaambia ndugu na marafiki zangu kuwa ni waTanzania 4 tu (walio mbali nami) ndiyo nitahudhuria kwenye mazishi Yao (watakapo aga Dunia):
1. Jaji Joseph Sinde Warioba
2.Jenerali Twaha Ulimwengu
3. Tundu Antipas Lisu
4. Maxence Melo
Unistall ya zamani afu download, inakuja mpya .... sijui ndo App na Play Store wamechelewa kufanya update isome!Mbona mimi hainipi option ya ku- update au kisimu changu kimepitwa na wakati 😁
Futa/Uninstall ya zamani, afu download tena, utapata mpyaMe mbona nimeenda dukani nikakutana na ya zamani 🙄
Naambiwa hyo mpya wao hawaijuh
Je nikifanya hivyo taarifa zangu hazipotei?Futa/Uninstall ya zamani, afu download tena, utapata mpya
Nimetest lakin sijaizoea, inachanganya notification na inbox, herufi zimegeuka yaan tabu tupu, nmerud website mkuuMimi ni website kufa na kuzikana.. App sizielewagi sijui ni mimi mwenyewe tuu.. Kikubwa niko ndani ya JF
Kabisa mkuu..video haziplay pia..inbox pako upside down..hii wamewahisha kuiachia kabla ya muda nadhani...nimerudi kwenye website pia..natamani nirudi kwenye app ya zamani ndo imetoka hyo aiseeNimetest lakin sijaizoea, inachanganya notification na inbox, herufi zimegeuka yaan tabu tupu, nmerud website mkuu