Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Mkuu nikidownload hilo gemu nainstall moja kwa moja ama???Ila hawa pes 2012 nawapiga 10 na kuendelea na hapo nacheza ile level ya juu ya kabisa ila hii fts 18 bado sijai master
Mkuu nikidownload hilo gemu nainstall moja kwa moja ama???Ila hawa pes 2012 nawapiga 10 na kuendelea na hapo nacheza ile level ya juu ya kabisa ila hii fts 18 bado sijai master
Mkuu nikidownload hilo gemu nainstall moja kwa moja ama???
Uki download nambie mkuuMkuu nikidownload hilo gemu nainstall moja kwa moja ama???
Sawa mkuu....Uki download nambie mkuu
Sawa mkuu ...si tunafanya ka FTS tu ama????Mjaribu hapo juu apk+ obb
Ndio mkuu on behalf ila hili lina obb tu data halina ko utafata taratibu zote za kuweka obb inapotakiwa yaan android/obb then utalipaste hapo extracted fileSawa mkuu ...si tunafanya ka FTS tu ama????
Kwa hiyo baada ya hapo nainstall apk nacheza si ndiyo!???Ndio mkuu on behalf ila hili lina obb tu data halina ko utafata taratibu zote za kuweka obb inapotakiwa yaan android/obb then utalipaste hapo extracted file
Utaextract file mkuu na utacopy obb to android/obb files then paste"""Kwa hiyo baada ya hapo nainstall apk nacheza si ndiyo!???
Halafu baada ya hapo nainstall apk nacheza cndiyo???Utaextract file mkuu na utacopy obb to android/obb files then paste"""

Yaaap mkuuHalafu baada ya hapo nainstall apk nacheza cndiyo???![]()
![]()
![]()
Sawa kesho wacha niliibukie....Yaaap mkuu
Ahaaàaaa A for long shoot B ni pass na kukaba C for cross and lobbingJinsi ya kucheza hili game maana napigwa tu dah nishazoe pes dah hivi A,B,C vinatumikaje
Jinsi ya kucheza hili game maana napigwa tu dah nishazoe pes dah hivi A,B,C vinatumikaje
piga huyo!!!!!Ahaaàaaa pigaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
piga huyo!!!!!
Ahaaàaaa pigaaaa
eeh mkuu ukipigwa ndo akili zinakuja unaelewa mapema!!!