Apk ya Dream League soccer 2017

Apk ya Dream League soccer 2017

Sema nini mkuu kila nikimaliza kipindi cha kwanza inagoma kwenda second half nifanyaje apo
 
jaman me kila nkicheza DSL unakuta katikati inazma mpk uanze tena tatzo nn
 
Ni full kunyanyua kwapa tu
30642bf878d5192a3a7f0c6b41c0d910.jpg
 
ndio kabla ya mechi kuisha, natumia tecno Y3+
Ndo maana linasumbua......hata mimi kipindi natumia y3 ilikuwa hivyohivyo.DLS ambayo utacheza vzr hapo ni 16. 17 utacheza ila itazingua kidogo hasa ukihack na 18 usitegemee kabisa kuicheza hapo hata kwa dawa.....
 
Una view file mkuu na zarchiver baada ya kuview kitakuja option tatu ya data obb apk na baada ya hapo switch data connection iwe off then copy files ulizoextract kwa folder ya android na hakikisha data files unaweka kwenye file la data na pia obb sehemu ya obb na ukimaliza install apk then launch game mkuu
Samahani mkuu...,ni faili zipi unaziextract????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom