beka the boy
Senior Member
- Nov 6, 2018
- 167
- 96
Ok tukikutana basi kama utanitambua piga screen shot au nikikutambua nitapiga screen shot nakuweka humuMi ndo hiyohiyo Saturn hakuna la ziada!
Ok tukikutana basi kama utanitambua piga screen shot au nikikutambua nitapiga screen shot nakuweka humuMi ndo hiyohiyo Saturn hakuna la ziada!
😂😂 Labda nikufunge sio unifunge..😜Ok tukikutana basi kama utanitambua piga screen shot au nikikutambua nitapiga screen shot nakuweka humu
kabisaLabda nikufunge sio unifunge..
Kuna mtu alifuta game,Sijakuelewa mkuu..
Pole sana ndugu unakosa uhondo..Kuna mtu alifuta game,
la 2020 alina hack mzee n mwendo wakukusanya 30 ad ufikeKuna dogo langu nangojea aje aliweke likiwa hacked kabisa la 2020
nani kakudanya, mie nimehack tayrila 2020 alina hack mzee n mwendo wakukusanya 30 ad ufike
Umepata labda modded ila sio Ognani kakudanya, mie nimehack tayri
Kuna mpuuzi mmoja eti kipa wake anajianzia mwenyewe,, huyu kenge nimetoa nae suluhu
Sent using Jamii Forums mobile app