Apanda Mlima Kilimanjaro kwa Saa 24

Apanda Mlima Kilimanjaro kwa Saa 24

Kwasababu hunijui, Ila ungenifahamu hata kidogo tu usingeongea hayo uliyoyanena dogo. Mi nimeongea in a very professional way, Kama kukulia kwako kwenye vijilima na vimabonde ukafananisha hali hiyo ni sawa na Mount Kilimanjaro pole sana.
Unajua zoezi linaloitwa SORROW NIGHT ambalo mimi nimelipitia mlima Kilimanjaro?
Kaa kwa kutulia dogo......

Tumegee kidogo kiongozi inakuaje hiyo...?
 
Unajua Ina umbali wa km ngapi?

Usichukulie zile meta 5895 kama ndo umbali wake hizo meta ni za mwinuko kutoka usawa wa bahari na umbali kutoka chini ya mlima na kilele Cha mlima ni habari nyingine, unaweza Kuta Kuna km 60 Sasa km60 utumie masaa 2?
Hesabu za wapi hizi km 60= meta 5895?
 
Kwasababu hunijui, Ila ungenifahamu hata kidogo tu usingeongea hayo uliyoyanena dogo. Mi nimeongea in a very professional way, Kama kukulia kwako kwenye vijilima na vimabonde ukafananisha hali hiyo ni sawa na Mount Kilimanjaro pole sana.
Unajua zoezi linaloitwa SORROW NIGHT ambalo mimi nimelipitia mlima Kilimanjaro?
Kaa kwa kutulia dogo......
Huna lolote kwanza unajua umri wangu mpaka useme mimi dogo
 
Huo mlima ukianza saa moja asubuhi saa saba mchana utakuwa kileleni

Hizi zingine huwa ni biashara za wabeba mizigo kuwachelewesha wateja au wateja wasio kuwa na haraka na wenye bajeti kubwa
Usiongee kitu bila ya elimu , si watu wote wanaweza kufanya rapidly addaptation ndiyo maana wanapanda kwa kupumzika kizungu wanaita "Acclimatization".

Ni kitendo cha kuufanya mwili uweze kuzoea mazingira ya kilele kadiri unavyozidi kwenda juu hii inaufanya mwili usiweze kupata madhara mfano kutoka damu kwenye kila tundu ya mwili au kwa kizungu huitwa "oozing" na hata madhara mengine yatakayopelekea kifo.

Nini kinatokea unapofanya acclimatization?

1. Mapafu huwa yanaongezeka ukubwa ili kuweza kuchukua hewa nyingi zaidi .
2. Kuongezeka kiwango cha chembe hai nyekundu hii itasaidia mwili kusafirisha oxygen nyingi kwa haraka .
3. Kuongezeka uwezo wa misuli kuhifadhi hemoglobin hii itasaidia uvunjwaji wa glucose kiukamilifu n.k

Kwanini sasa huyo muendesha baskeli katumia saa 24 bila ya acclimatization?

Theoreticaly ni kwamba kwa sababu jamaa ni muendesha baiskeli process ya acclimatization inatokea kwake naturaly kutokana na uendeshaji wa baiskeli (hasa hawa wanaofanya mashindano) huwa wana kiwango kikubwa cha redblood cells kwenye damu yao, wana mapafu mapana kuliko kawaida na pia misuli yao inahifadhi hemoglobin kwa wingi.

hivyo kwa kumalizia jamaa ilikuwa kwake si lazima ku acclimatize.
 
Usiongee kitu bila ya elimu , si watu wote wanaweza kufanya rapidly addaptation ndiyo maana wanapanda kwa kupumzika kizungu wanaita "Acclimatization".

Ni kitendo cha kuufanya mwili uweze kuzoea mazingira ya kilele kadiri unavyozidi kwenda juu hii inaufanya mwili usiweze kupata madhara mfano kutoka damu kwenye kila tundu ya mwili au kwa kizungu huitwa "oozing" na hata madhara mengine yatakayopelekea kifo.

Nini kinatokea unapofanya acclimatization?

1. Mapafu huwa yanaongezeka ukubwa ili kuweza kuchukua hewa nyingi zaidi .
2. Kuongezeka kiwango cha chembe hai nyekundu hii itasaidia mwili kusafirisha oxygen nyingi kwa haraka .
3. Kuongezeka uwezo wa misuli kuhifadhi hemoglobin hii itasaidia uvunjwaji wa glucose kiukamilifu n.k

Kwanini sasa huyo muendesha baskeli katumia saa 24 bila ya acclimatization?

Theoreticaly ni kwamba kwa sababu jamaa ni muendesha baiskeli process ya acclimatization inatokea kwake naturaly kutokana na uendeshaji wa baiskeli (hasa hawa wanaofanya mashindano) huwa wana kiwango kikubwa cha redblood cells kwenye damu yao, wana mapafu mapana kuliko kawaida na pia misuli yao inahifadhi hemoglobin kwa wingi.

hivyo kwa kumalizia jamaa ilikuwa kwake si lazima ku acclimatize.
Asante kwa kutoa hii elimu mkuu.
 
Huo mlima ukianza saa moja asubuhi saa saba mchana utakuwa kileleni

Hizi zingine huwa ni biashara za wabeba mizigo kuwachelewesha wateja au wateja wasio kuwa na haraka na wenye bajeti kubwa
Ukifikiria kuna ukweli hapa 😄 km 6 mtu unapandaje siku 3
 
Acha uoga mzee,mlima uko overated sana ,mzungu ameprove hilo,tunachelewesha watalii ili tuwapige mpunga

Tell you something mlima si overrated. Hawa wageni wanakuja kuvunja hizi record wanakuwa wamejipanga, ni cross fitness individual au athletics guys.

Kwa record tu zinaonyesha ni watanzania wawili tu, mmoja alikuwa askari wa hifadhi, mwingine ni raia ndio waliweka record za kupanda kwa muda mfupi,since record zilizofuata zimewekwa na wageni only. Hao watz wako wapi?
 
Unavijua vipimo vya umbali kweli wewe?
Unapoongelea 60 km una maanisha 196,000+ feets.
Ndege za abiria za masafa marefu huwa zinaruka 40,000+ feets.
Aircraft inayoruka umbali mrefu zaidi hadi sasa imeenda 70,000 feets.
Sijui hizo Km 60 unazoziongelea ni zipi mkuu?

Ametofautisha between mwinuko kutoka usawa wa bahari, na level distance. Ndege zinaruka 40,000ft zikiwa compressed na oxygen ndani,thus haina haja ya abira ku adopt hali ya hewa kwenye elevation hiyo.

Kwenye mlima you are exposed , no compressed air mwili lazima uweze ku adopt kila hali ya hewa na atmospherice pressure iliyoko kila elevation.
 
Have you tried? Kwa hiyo wanaopanda siku 5 wanazingua sio?
Kilimanjaro unapandika vizuri sana in a day. Wanaopanda kwa siku 5 huwa inashauriwa hivyo kitaalamu ili mwili uwe una adopt mazingira taratibu kadili hali ya hewa inavyobadilika mtu anavyozidi kwenda juu.
Kwa watu ambao miili yao ipo exposed na hali hiyo huwa haiwasumbui. Mfano mzuri ni wale porters, poa mountaun climbers.
Kwa wapanda milima Kilimanjaro hata hawauhesabii , bali ni kama picnick garden tu.
 
Hewa lazima ibadilike mkuu km unakumbuka geography ya olevel kila unapopanda milima/mwinuko joto hupungua

Ila km wewe ni mtu wa mazoezi ule mlima masaa nane unatoboa vizuri tu

Nina experience
Kama hujabeba mzigo na unatemebea free bila kikwazo hapo sawa
 
Mimi nimezaliwa na kukulia kwenye milima, utoto wangu tumekua tunashuka tunakimbia na kupanda mlimani sasa nashindwa kuelewa kinachofanya mlete vitisho.

Mimi sijawahi kufika hapo ila na uhakika kama njia naifahamu napanda kwa masaa hapo mpaka juu
Panda sasa...acha ngonjera
 
Back
Top Bottom