Apanda Mlima Kilimanjaro kwa Saa 24

Apanda Mlima Kilimanjaro kwa Saa 24

Wengi wanashindwa kuelewa mtalii ni nani na utalii unamaanisha nini kwa ujumla wake. Kitu Cha kwanza tour guard ni lazima atoe huduma itakayomfurahisha na kumfanya mtalii aridhike; hapa wataangalia na kuelezea features zote ambazo si za kawaida mlimani(Muda unatumika). Tourguard lazima aangalie safari yake na mtalii aikatishwi na obstacle yoyote ile. Kadri unavyopanda mlima Kilimanjaro hali ya hewa inabadirika (As the height increases the amount of oxygen decreases) so kunapokuwa na hali mbaya lazima wasimame kwenye vituo vilivyokuwa stationed kwaajili yakupata maradhi(Muda unatumika)
Na kama utaenda kupanda mlima Kilimanjaro kama mtalii procedures za kiusalama lazima zizingatiwe( Hapa ndipo muda unapotumika zaidi) ila kama utaenda kupanda mlima Kilimanjaro kupima uwezo wako obviously utatumia muda machache tofauti na muda wanazitumia watalii. Sasa Kuna mtu anakwambia Mlima Kilimanjaro uko overrated, sijui anatumia kigezo gani?!🙄
 
Watanzania ni wajuaji sana.

Mnajua ni kwanini watu wanapanda mlima kidogo kidogo?

Mnajua athari za kiafya kupanda mlima kama mnazi?

Mnajua kwanini wengine wanafia huko juu kileleni?
Wanajifanya wajuaji bila kujua kuwa kila kitu kina procedures zake kwa usalama wa mhusika. Hakuna procedures kali za kiusalama kama za kupanda milima tena yenye hali tofauti tofauti za hewa.
 
Huo mlima ukianza saa moja asubuhi saa saba mchana utakuwa kileleni

Hizi zingine huwa ni biashara za wabeba mizigo kuwachelewesha wateja au wateja wasio kuwa na haraka na wenye bajeti kubwa
Usidanganye watu hapa, pamoja na kuwa kuna njia fupi na njia ndefu ila sio kwa masaa hayo na kila njia ina faida zake.
Hivi umewahi kujiuliza mtu atoke Dar ambapo joto liko 35C halafu apande mlima siku ya pili Joto lipo -5C?
hapo kinachofanya mtu ashindwe kifika kileleni ni mwili kushindwa kukubali hayo mabadiliko ya joto kwa haraka/muda mfupi

Kinachofanya watu watumie njia ndefu/wapande polepole ni kuupa mwili muda wa kubadilisha hali ya hewa. Lakini kwa watalii ile ni ziara ya mafunzo (wanajifunza vitu vingi) sio kwenda tuuuu kama marathon....
Huyo mwendesha baiskeli ametokea Poland ambapo kwa sasa Joto lipo chini sana huko kwao, kwenye -1 hadi -10 hivi, hivyo hakupata shida yoyote ya mwili kubadilisha joto kwa haraka.....
Tatizo wanaotoa hoja za ajabu ajabu hapa hawajawahi kuupanda na wengine hata hawajawahi kuuona (kupanda meta 5895 sio mchezo)
 
mimi binafsi kwa fani yangu ya jiolojia imeniwezesha kutembelea milima mingi katika tafiti za madini,

mlima kiliamnjaro nina uwezo wa kuupanda 24 hours bila utani and am serious
[emoji23][emoji23][emoji23]pale Mbuyuni (chimala) tulipanda mlima fulani hivi kufata Andesite juu[emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka kuna binti aliingia period aisee

Geology[emoji91][emoji91]
 
Najaribu kusoma comments za watu huku...wengi wanaji boast kwamba wanaweza panda kwa saa nane ila kiuhalisia ni kwamba hawajawah kuupanda huo mlima....Mimi pamoja na kupiga tizi za kutosha ila ule mlima ni habar nyingine kqbisa...yaan unayoelekea juu hewa ni kama inabadilika iv kwa hyo mwli unakuwa na uchovu usio wa kawaida
 
Unajua Ina umbali wa km ngapi?

Usichukulie zile meta 5895 kama ndo umbali wake hizo meta ni za mwinuko kutoka usawa wa bahari na umbali kutoka chini ya mlima na kilele Cha mlima ni habari nyingine, unaweza Kuta Kuna km 60 Sasa km60 utumie masaa 2?
Unavijua vipimo vya umbali kweli wewe?
Unapoongelea 60 km una maanisha 196,000+ feets.
Ndege za abiria za masafa marefu huwa zinaruka 40,000+ feets.
Aircraft inayoruka umbali mrefu zaidi hadi sasa imeenda 70,000 feets.
Sijui hizo Km 60 unazoziongelea ni zipi mkuu?
 
Mm binafs niliwai kuwaza kupanda kwa nasaa 24 tu nashNgaa hz mbwembww za siku saba

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mkuu kadiri altitute inavyozidi kuongezeka air pressure inashuka hivyo kufanya upumuaji kuwa mgumu.

Hewa iliyopo kwenye lower altitude (karibu na usawa wa bahari) sio sawa na iliyopo kadiri unavyozidi kuongeza altitude (mwinuko) kutoka usawa wa bahari. Hivyo kupanda mlima sio rahisi kama unavyodhani.

Itauchukua mwili wako siku nyingi ku adjust kwenye higher altitude uweze kupumua vizuri.

Hivyo basi usifikiri unaweza kutembea kama ukiwa beach na mlimani hivyo hivyo. Kule hatuma moja ya sehemu za chini ni hatua tano.

Kuna kitu kinaitwa altitude illness as mapafu yanajaribu ku adjust na low air pressure ili uweze kupumua, kulazimisha kwenda haraka matokeo yake uta collapse kwa kushindwa kupumua na hutamaliza hata nusu ya safari.

Kama ni mwanzo huwezi kumaliza 10 kilometers kwa siku. Labda kama ni mtu unaeishi milimani (kwenye high altitude au ni mtu ambae unapanda milima kila mara basi angalau unaweza kuenda mbali kidogo). Lakini kama ni mara ya kwanza kupanda wala usijidanganye.

Njemba Soro. Jbst
 
Hewa lazima ibadilike mkuu km unakumbuka geography ya olevel kila unapopanda milima/mwinuko joto hupungua

Ila km wewe ni mtu wa mazoezi ule mlima masaa nane unatoboa vizuri tu

Nina experience
Najaribu kusoma comments za watu huku...wengi wanaji boast kwamba wanaweza panda kwa saa nane ila kiuhalisia ni kwamba hawajawah kuupanda huo mlima....Mimi pamoja na kupiga tizi za kutosha ila ule mlima ni habar nyingine kqbisa...yaan unayoelekea juu hewa ni kama inabadilika iv kwa hyo mwli unakuwa na uchovu usio wa kawaida
 
Back
Top Bottom