Aolewa akiwa na miaka 60

Aolewa akiwa na miaka 60

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,001
Reaction score
72,284
Mwanamama huyu sijajua ni wa nchi gani lakin amefunga ndoa kwa mara ya kwanza akiwa na miaka 60 kwa hiyo usikate tamaa kama bado hujaolewa na unataka sana ndoa
Screenshot_2017-02-05-10-45-10-1.png
 
Una uhakika gani kama machine imeanza kutumika akiwa at her 60s?
Kwan wapi wamesema mashine ikinunuliwa ikawekwa ndani kwa miaka 60 bila kutumika itakuwa bado mpya?!
 
Depreciation of an asset takes place regardless of the usage of the asset. Whether it is in use or not it must depreciate
 
Nakubaliana na wewe maana Ni kweli tupu....
My point is...huenda walikua wanaishi pamoja so wameamua kuhalalisha kanisani
Nataka kumuna huyo mwanamke anayeishi na mwanaume kwa miaka zaidi ya 30 bila ndoa
 
Nataka kumuna huyo mwanamke anayeishi na mwanaume kwa miaka zaidi ya 30 bila ndoa
Wapo wengi waliofanya tradition tu... Mahari tu inakua imefanyika ...mikoani hasa vijijini inatokea sana... Na Mara nyinfi hufunga ndoa za pamoja kila mwaka
 
Wapo wengi waliofanya tradition tu... Mahari tu inakua imefanyika ...mikoani hasa vijijini inatokea sana... Na Mara nyinfi hufunga ndoa za pamoja kila mwaka
Hivi ww ulivyokuwa mtata unaweza kufanya hili?!
 
weeee, usiombe kukutana na mashine za watu wazima ni watamu ajabu kama ana miaka 15, hao wameshafikia menopause kauchi kanakuwa kadogo. nakwambia hutamuacha.
Sasa ukiolewa wakat unachukua pensheni kuna raha gani?!


Mashine yenyewe inakuwa out of order
 
Back
Top Bottom