Tayo zeboss
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 465
- 165
Hii habari kabla ya kuiweka hapa nilimpigia Baharia mmoja wa Kilimanjaro (jina kapuni) yeye ndie alienithibitishia tukio na akanambia kwamba amefariki dunia. Cha kushangaza Ma Mod wakaubadilisha na kuandika amenusurika. There must be some cover up!!
Unakumbukumbu weyeWa pili huyu! Kuna na yule dada,ila yule dada alisalimika na kifo! Rip marehemu!
Video yake ninayo unaweza ukachekaYap ni kweli. Halafu kwa mujibu wa video mabaharia wa Azam walichukua muda mrefu kumuokoa ni kama vile hawakua na ujuzi au uzoefu na matukio ya dharura. Kumbuka pia kuna siku watu karibia ya 15 walifariki baada ya boti ya Azam iliyokua ikitokea Pemba kupigwa na dhoruba ya wimbi. Na inasemekana boti haikusimama.
Ni kweli yafaa kumwombea dua kwa maana kilicho msibu mjuzi ni mola wake na muhusika mwenyewe, tusimuhukumu moja kwa moja kuwa amekosea.
Hayo baadhi huwatokea watu kwa sababu ya magonjwa ya akili, misongo ya mawazo na mara nyengine ulozi pia huhusika.
Sent using Jamii Forums mobile app
just nawaza tuu mkuu,kwamba abiria wa azam pekea tuu ndo hua wanajitupa majini.Swali lako linamaanisha nini?
Kua Azam wanawaambia wateja zao wajirushe baharini au umelenga nini Mwanadome.
Ha ha haaaHuwez kimbia ukatuachia hali hii mzee baba pona uje tupambane weeee unakimbiaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
apumzike kwa amani kwa ni kafa??Uchunguzi Ufanyike apumzike kwa amani.
habari imefanyiwa editor mwanzo ilisomeka amekufa it's died.apumzike kwa amani kwa ni kafa??
Ok ,habari imefanyiwa editor mwanzo ilisomeka amekufa it's died.