Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,167
- 16,256
Polisi Lindi wamethibitisha kifo cha Hassan Mbuyu (27) aliyejirusha baharini kwa kuhofia kuwekwa lockup Polisi baada ya Mpenzi wake Sharifa (22) kumshitaki kwamba amempiga na kumtishia, Hassan alikuwa akihojiwa na Askari kituoni kwa tuhuma za kumpga na kumtishia mpenzi wake kabla ya kukimbia na kujirusha.