Unatakiwa kufanya bootscan ,
1- Fungua antivirus yako
2 - Click sCAN COMPUTER THEN CLICK ON BOOTTIMESCAN
3 - CLICK ON SCHEDULE NOW HALAFU RESTART NOW
-----------------------------------------------------------------
ITAZIMA HALAFU ITAWAKA ITAANZA KUSCAN IKIKAMATA VIRUS UTAONA MAELEZO UNAKUPA MFANO DELETE ALL NI NAMBA 2 , SO UTAFUTA MAELEZO HIYO BOOTSCAN NI WAKATI PC YAKO INAPOWAKA HIYO NDIO NJIA RAHISI ZAIDI
NAKUTAKIA MAFANIKIO
Thanks Nimefanya kawa ulivyo elezea ime restar nakuanza kazi yake but haija prompt Kurusi nilipi login nikakuta RIcycler na System Volume Information bado yupo
Pia ninasoftware inayoweza kewa delete unlock er watoka ukiweasha anaonekane
please njia mbadala