Hata kama AntiVirus iko kwenye high ranks, kama hau updates mara kwa mara inakuwa ni kazi bure

deejaywillzz

JF-Expert Member
Mar 11, 2014
637
224
Habari zenu wakuu, nilikuwa napitia kwenye net nikakumbana na list ya Best Top 10 Antiviruses in 2014 kama ilivyo hapo chini. ( Best Antivirus Software Review 2015 | Virus Protection )

1. Bitdefender Antivirus Plus 2.Kaspersky Anti-Virus 3. MacAfee AntiVirus Plus 4. Norton Security 5. Trend Micro Titanium Antivirus+ 6. Avira Antivirus Pro 7. BullGuard Antivirus 8. eScan Anti-Virus 9. ZoneAlarm Antivirus 10.G Data Antivirus

Kwa opinion yangu, unaweza kuwa na best antivirus lakini kama haufanyi regular updates computer yako bado ina uwezekano mkubwa wa kuwa attacked na virus hata wale wadogo. Nilishawahi kusikia mtu analalamika kuwa ana antivirus nzuri lakini laptop yake ina virus balaa, kuja kuangalia kumbe hajawahi hata ku connect internet kwenye hiyo laptop.

Ushauri wangu kwa wale wanaotumia PC ambazo hazina access ya internet tafuteni Antiviruses ambazo zina option offline updates, hapa ninamaanisha yakuwa unaweza ku download updates kwa kutumia computer nyingine kisha ku copy files na kwenda ku updates Antivirus kwenye PC yako ambayo haina internet.

+-----------------------------------------------------------------------
| Point ya msingi ni kuhusu updating of your Antivirus,
| hiyo list ya ranking isikutoe nje ya topic, inaweza kuwa vyovyote
+-----------------------------------------------------------------------
 
kwa wale wa windows 8 8.1 mpaka windows 10(beta) sidhani kama unahitaji antivirus, kuna built in windows defender ni noma, tangu nianze kuitumia sijawahi kupata matatizo af ni free na ni very friendly maana ni ya microsoft wenyewe..
 
Hiyo bit defender imekaa tu hapo...nadhan kaspersky ilitakiwa iwe no.1...sioni mpinzani wake!!
 
kwa wale wa windows 8 8.1 mpaka windows 10(beta) sidhani kama unahitaji antivirus, kuna built in windows defender ni noma, tangu nianze kuitumia sijawahi kupata matatizo af ni free na ni very friendly maana ni ya microsoft wenyewe..
island nakubaliana na wewe. Point yangu ilikuwa ni hivi, hata kama hiyo windows defender ni kali bila kuifanyia update mara kwa mara itakuwa useless at some point sababu kila kukicha watu wana tengeneza virus
 
Last edited by a moderator:
Hiyo bit defender imekaa tu hapo...nadhan kaspersky ilitakiwa iwe no.1...sioni mpinzani wake!!

Vyoyote utakavyosema mkuu inaweza kuwa ni kweli. Ila point yangu ni kwamba usipo update hiyo Kaspersky kuna muda utafika haitakuwa na uwezo wa kudetect new virus, sababu kila kukicha new virus wanatengenezwa
 
Kaspersky is the best antivirus according to my opinion and usage experience
 
Vyoyote utakavyosema mkuu inaweza kuwa ni kweli. Ila point yangu ni kwamba usipo update hiyo Kaspersky kuna muda utafika haitakuwa na uwezo wa kudetect new virus, sababu kila kukicha new virus wanatengenezwa

Hapo umenena mkuu!! na ndio ukweli wenyewe!! watu wengine wakiona anti virus inawakumbusha ku update kila siku au kila baada siku mbili basi ataichukia sana hiyo ant virus, ila kiukweli ni kwa usalama wake na pc yake!!! nice info though!!
 
kwa wale wa windows 8 8.1 mpaka windows 10(beta) sidhani kama unahitaji antivirus, kuna built in windows defender ni noma, tangu nianze kuitumia sijawahi kupata matatizo af ni free na ni very friendly maana ni ya microsoft wenyewe..
Mkuu mimi ninayo ila virus wamefanya PC imekuwa inastuck sometimes hadi uzime ndo uwashe tena........otherwise kuna factors nyingine inafanya pc kustuck
 
Mkuu mimi ninayo ila virus wamefanya PC imekuwa inastuck sometimes hadi uzime ndo uwashe tena........otherwise kuna factors nyingine inafanya pc kustuck

Stacking itakuwa inasababishwa na kujaa kwa disc especially disc yenye windows .. disc c .. punguza files iachie nafasi kama iko hivo ..
 
Hapo umenena mkuu!! na ndio ukweli wenyewe!! watu wengine wakiona anti virus inawakumbusha ku update kila siku au kila baada siku mbili basi ataichukia sana hiyo ant virus, ila kiukweli ni kwa usalama wake na pc yake!!! nice info though!!
Safi sana mkuu. Naonaga watu wa hivi hata umuelekeze hapendi kuwa alerted. Wako wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom