Angalizo: Wale mnaotumia SMADAV kama Antivirus za PC zenu

Mars Rover

JF-Expert Member
Apr 27, 2012
338
140
Hii imekua around kwa muda mrefu sana huku ikijichukulia umaarufu kwa watu wengi kiasi cha watu kuondoa Kaspersky Antivirus ili kuiruhusu SMADAV kufanya kazi kwenye PC zao.
Mbaya zaidi kuna baadhi ya watu wanakua na "Antivirus" zaidi ya moja kwenye PC moja, hii ni mbaya sana kwa usalama wa files zako, na performance ya PC yako..

UPANDE WA PERFORMANCE

Security Applications zote zinafanya kazi ya kuilinda PC yako kwa kuwa active muda wote (background process) na uhitaji processor, RAM na Disk ili kuweza kufanikisha swala la ulinzi, sasa basi pale unapokua na Applications za security zaidi ya moja ndivyo unavyozidi kupoteza system performance ya PC yako..

UPANDE WA USALAMA WA FILES ZAKO

Hii "SMADAV Antivirus" imewapotosha wengi kiasi cha kupoteza document muhimu kwenye flash drive, external hard drive na ata Internal Hard drive zao..

Sifa ya Antivirus nzuri ni kupata Database updates mara kwa mara, uwezo wa kukuonya pale unapoingia kwenye website batili au yenye madhara kwa computer yako.

Kwa SMADAV Antivirus hili lipo kinyume kabisa na Application hii haina features kamilifu za kupambana na malware maarufu kama vbs, au malicious batch files, inachokifanya ni kufanya scanning ya USB Hard Drive yeyote inayokuwa imewekwa kwenye PC husika, na scanning hii haina uimara wa kugundua malware za aina nyingi cha zaidi itakuletea report ya Autorun.inf ambayo wakati mwingine ni executable file zinazokuwepo kwenye baadhi ya flash drives kwa ajili ya Autoplay..

Mbali na hapo SMADAV Antivirus haifanyi direct registration kwenye registry ya PC yako, na pia haipo kwenye list za installed Applications hii ni hatari kwa sababu inamaanisha kuwa SMADAV haijawa certified na Microsoft kama trusted software vendor. Pia size ya hii SMADAV haifiki ata 20MB na unistall process yake inachukua dakika chache sana kama siyo sekunde..

Hivyo basi wakuu wangu ambao mnatumia SMADAV kama Antivirus za PC zenu mziondoe na kuweka Antivirus zinazoaminika na zilizolipiwa nikiaamanisha achana na free Antivirus applications kwa sababu functionality zake zinakuwa chache sana mfano kushindwa kuscan ZIP files au kuchuja website na webpages ambazo ni mbaya(dhuru) kwa PC yako..


Antivirus ninazopendekeza

1. Kaspersky Antivirus au Kaspersky Internet Security

2. Premium AVG

3. Bitdefender

4. Premium Avast Antivirus

5. Norton Antivirus au Internet Security (Premium)

*Premium license inapatiana kwa kununua
*Usidownload product key za Antivirus kutoka kwenye torrent site.


Pamoja Sana Wakuu
 
Hii imekua around kwa muda mrefu sana huk watu wengi kiasi cha watu kuondoa Kaspersky Antivirus ili kuiruhusu SMADAV kufanya kazi kwenye PC zao.

Una promote KAV

Mbaya zaidi kuna baadhi ya watu wanakua na "Antivirus" zaidi ya moja kwenye PC moja, hii ni mbaya sana kwa usalama wa files zako, na performance ya PC yako..

Kueka smadav na Av nyingine hakuna effect upande was fil3s

UPANDE WA PERFORMANC

UPANDE WA USALAMA WA FILES ZAKO

Hii "SMADAV Antivirus" imewapotosha wengi kiasi cha kupoteza document muhimu kwenye flash drive, external hard drive na ata Internal Hard drive zao..

Funguka hapa vizuri,
Sifa ya Antivirus nzuri ni kupata Database updates mara kwa mara, uwezo wa kukuonya pale unapoingia kwenye website batili au yenye madhara kwa computer yako.

Kwa SMADAV Antivirus hili lipo kinyume kabisa na Application hii haina features kamilifu za kupambana na malware maarufu kama vbs, au malicious batch files, inachokifanya ni kufanya scanning ya USB Hard Drive yeyote inayokuwa imewekwa kwenye PC husika, na scanning hii haina uimara wa kugundua malware za aina nyingi cha zaidi itakuletea report ya Autorun.inf ambayo wakati mwingine ni executable file zinazokuwepo kwenye baadhi ya flash drives kwa ajili ya Autoplay..

Mbali na hapo SMADAV Antivirus haifanyi direct registration kwenye registry ya PC yako, na pia haipo kwenye list za installed Applications hii ni hatari kwa sababu inamaanisha kuwa SMADAV haijawa certified na Microsoft kama trusted software vendor.

Wnachojua microsoft nikwamba Smadav Av ni Av ambayo ipo based na Indonesia, na kule ina run effectively kupambana na Local malwares wanaospread ndani ya ile nchi, kama inavyokuwaga kule Kenya yaani wale Virus wasumbufu kama kibaki virus, odinga virus ambao walikua wana spread sana Kenya nao watengenezewe Av yao, lakini hiyo Av pia inaweza tumika na nnchi nyingine, ila hizo nchi zisiwe zinapata update kama unavyoclaim hapa.

Pia size ya hii SMADAV haifiki ata 20MB na unistall process yake inachukua dakika chache sana kama siyo sekunde..

Size so sabàbu kubwa ya kudetermine uwezo was Av

Hivyo basi wakuu wangu ambao mnatumia SMADAV kama Antivirus za PC zenu mziondoe na kuweka Antivirus zinazoaminika na zilizolipiwa nikiaamanisha achana na free Antivirus applications kwa sababu functionality zake zinakuwa chache sana mfano kushindwa kuscan ZIP files au kuchuja website na webpages ambazo ni mbaya(dhuru) kwa PC yako..

Haina umuhimu wakuondoa smàdàv ili kuweka Av nyingine, ila unaweza kuongezea Av nyingine kama hiyo Av haifunction vizuri ktk USB scanning.


Antivirus ninazopendekeza

1. Kaspersky Antivirus au Kaspersky Internet Security

2. Premium AVG

3. Bitdefender

4. Premium Avast Antivirus

5. Norton Antivirus au Internet Security (Premium)

*Premium license inapatiana kwa kununua
*Usidownload product key za Antivirus kutoka kwenye torrent site.


Pamoja Sana Wakeup

Unapotumia Smadav ni lazima uwe na international Av nyingine kama hizo ulizo mention hapa, kwasabu Smadav imebase sana Indonesia na ni local, Hivi ndivyo wafanyavyo Hawa jamaa kwenye nchi yao, inshort kwa wanaotumia Smadav Tz ni vihelehele vyao kwasabu kila nchi inakuwa na malwares waliospread sana kama waitumiavyo Smadav wa Indonesia ikiwa pamoja na Av's nyingine.

snipa
 
Last edited by a moderator:
Kama huruhusu flash, external na storage device nyengine kuchomekwa kwenye pc yako na browser ukaieka adblock basi una survive bila ant virus. Mimi nina miaka sasa bila ant virus. Na kama unatumia windows 10 au 8 ndio kabisaa kupata virusi ni vigumu sana.

Unless una biashara au sensitive documents then itabidi ueke ant virusi kama kaspersky
 
Kama huruhusu flash, external na storage device nyengine kuchomekwa kwenye pc yako na browser ukaieka adblock basi una survive bila ant virus. Mimi nina miaka sasa bila ant virus. Na kama unatumia windows 10 au 8 ndio kabisaa kupata virusi ni vigumu sana.

Unless una biashara au sensitive documents then itabidi ueke ant virusi kama kaspersky


Hiyo PC labda kama unaitumia kuaccess Facebook and other normal sites.
ila kama in Site zote unazama tu, believe me chief, Ransom wares will land you to Bit coin.
Japokuwa unaeza claim hapa Kuwa ndivyo ufanyavyo ila am unable to know what a toad does under water.
 
Hiyo PC labda kama unaitumia kuaccess Facebook and other normal sites.
ila kama in Site zote unazama tu, believe me chief, Ransom wares will land you to Bit coin.
Japokuwa unaeza claim hapa Kuwa ndivyo ufanyavyo ila am unable to know what a toad does under water.

Virus wengi online wanaingia kwa njia kubwa mbili
1. Matangazo - adblock ananilinda hapa
2. Installation files - sidownload kitu peke yangu kama ni torrent naangalia comments, nadownload kwenye official sites au kwenye website ambazo zipo trusted.

Mi siwezi tumia pc bila task manager, hii ndio most important software kwangu. Mara mbili tatu wanaingia wachimba migodi wa bitcoin ila una mtrace na task manager unamtoa faster tu. Sababu miner wa bitcoin ni software tu inayojificha.
 
Virus wengi online wanaingia kwa njia kubwa mbili
1. Matangazo - adblock ananilinda hapa
2. Installation files - sidownload kitu peke yangu kama ni torrent naangalia comments, nadownload kwenye official sites au kwenye website ambazo zipo trusted.

Mi siwezi tumia pc bila task manager, hii ndio most important software kwangu. Mara mbili tatu wanaingia wachimba migodi wa bitcoin ila una mtrace na task manager unamtoa faster tu. Sababu miner wa bitcoin ni software tu inayojificha.

Risk zitakuwa palepale yani huna Av na bado una access site zakila aina bado risk inakuwa pale pale tu,
Virus wanaingia kwa njia nyingi tu ikiwemo hizo chache ulizomention, na kutumia task manager kama Firewall bado nikubakia pale pale kwenye risk na pia nikujitesa, manager for how long utakuwa ukitizama ongoing and outgoing process.

Unless unambie unatumia Linux, ila Windows ! tRNA OS ambayo ikipatwa na loophole flank kuupdate inachukua miezi, na tena ina opendoor.
Otherwise for being differ from others but at risk.
 
Risk zitakuwa palepale yani huna Av na bado una access site zakila aina bado risk inakuwa pale pale tu,
Virus wanaingia kwa njia nyingi tu ikiwemo hizo chache ulizomention, na kutumia task manager kama Firewall bado nikubakia pale pale kwenye risk na pia nikujitesa, manager for how long utakuwa ukitizama ongoing and outgoing process.

Unless unambie unatumia Linux, ila Windows ! tRNA OS ambayo ikipatwa na loophole flank kuupdate inachukua miezi, na tena ina opendoor.
Otherwise for being differ from others but at risk.

nakubali risk ipo ila nipo tayari kutake hio risk kwenye laptop/desktop yoyote ya dual core. ant virus alone inachukua core moja, firefox inamaliza core inayobakia chochote kikubwa utachofungua iwe game au photoshop pc inaanza kuwa slow.

kuhusu task manager ya windows ni very powerfull kaka, almost kila kitu inakicover hasa ya win 8/10. na kutrace up mbona ni click mbili tatu tu? mfano mgodi wa bitcoin hutumia cpu sana ukiona app inakula cpu then huijui un right click unafungua process yake then una open file location moja kwa moja inakupeleka mahali mgodi ulipo then unatumia app kama revo un installer unautoa mgodi
 
Hii imekua around kwa muda mrefu sana huku ikijichukulia umaarufu kwa watu wengi kiasi cha watu kuondoa Kaspersky Antivirus ili kuiruhusu SMADAV kufanya kazi kwenye PC zao.
Mbaya zaidi kuna baadhi ya watu wanakua na "Antivirus" zaidi ya moja kwenye PC moja, hii ni mbaya sana kwa usalama wa files zako, na performance ya PC yako..

UPANDE WA PERFORMANCE

Security Applications zote zinafanya kazi ya kuilinda PC yako kwa kuwa active muda wote (background process) na uhitaji processor, RAM na Disk ili kuweza kufanikisha swala la ulinzi, sasa basi pale unapokua na Applications za security zaidi ya moja ndivyo unavyozidi kupoteza system performance ya PC yako..

UPANDE WA USALAMA WA FILES ZAKO

Hii "SMADAV Antivirus" imewapotosha wengi kiasi cha kupoteza document muhimu kwenye flash drive, external hard drive na ata Internal Hard drive zao..

Sifa ya Antivirus nzuri ni kupata Database updates mara kwa mara, uwezo wa kukuonya pale unapoingia kwenye website batili au yenye madhara kwa computer yako.

Kwa SMADAV Antivirus hili lipo kinyume kabisa na Application hii haina features kamilifu za kupambana na malware maarufu kama vbs, au malicious batch files, inachokifanya ni kufanya scanning ya USB Hard Drive yeyote inayokuwa imewekwa kwenye PC husika, na scanning hii haina uimara wa kugundua malware za aina nyingi cha zaidi itakuletea report ya Autorun.inf ambayo wakati mwingine ni executable file zinazokuwepo kwenye baadhi ya flash drives kwa ajili ya Autoplay..

Mbali na hapo SMADAV Antivirus haifanyi direct registration kwenye registry ya PC yako, na pia haipo kwenye list za installed Applications hii ni hatari kwa sababu inamaanisha kuwa SMADAV haijawa certified na Microsoft kama trusted software vendor. Pia size ya hii SMADAV haifiki ata 20MB na unistall process yake inachukua dakika chache sana kama siyo sekunde..

Hivyo basi wakuu wangu ambao mnatumia SMADAV kama Antivirus za PC zenu mziondoe na kuweka Antivirus zinazoaminika na zilizolipiwa nikiaamanisha achana na free Antivirus applications kwa sababu functionality zake zinakuwa chache sana mfano kushindwa kuscan ZIP files au kuchuja website na webpages ambazo ni mbaya(dhuru) kwa PC yako..


Antivirus ninazopendekeza

1. Kaspersky Antivirus au Kaspersky Internet Security

2. Premium AVG

3. Bitdefender

4. Premium Avast Antivirus

5. Norton Antivirus au Internet Security (Premium)

*Premium license inapatiana kwa kununua
*Usidownload product key za Antivirus kutoka kwenye torrent site.


Pamoja Sana Wakuu

sijaona ESET hapo. unafahamu ESET ni moja ya antivirus bora. Na kitu kingine SMADAV ni zaidi kwaajili ya removable media na sio complete antivirus.
 
Virus wengi online wanaingia kwa njia kubwa mbili
1. Matangazo - adblock ananilinda hapa
2. Installation files - sidownload kitu peke yangu kama ni torrent naangalia comments, nadownload kwenye official sites au kwenye website ambazo zipo trusted.

Mi siwezi tumia pc bila task manager, hii ndio most important software kwangu. Mara mbili tatu wanaingia wachimba migodi wa bitcoin ila una mtrace na task manager unamtoa faster tu. Sababu miner wa bitcoin ni software tu inayojificha.

kutumia task mngr kama security measure ni uongo. hapa sana sana utamtoa vitrus kama GROMOVII, AUTORUN na AUTOIT SKYPEE. wengine hakuna kitu.

vipi uanpokutana na mdudu aliyejiEMBEDD kwenye safe software let say VLC au UTTORENT...???
 
kutumia task mngr kama security measure ni uongo. hapa sana sana utamtoa vitrus kama GROMOVII, AUTORUN na AUTOIT SKYPEE. wengine hakuna kitu.

vipi uanpokutana na mdudu aliyejiEMBEDD kwenye safe software let say VLC au UTTORENT...???

sijasema kama task manager inatumika kama security na kama nimesema niquote.

nimesema pc yangu ipo safe as long as haingii flash, external na storage device nyengine ambazo watu mtaani wanazo zinazunguka toka pc moja hadi nyengine. hivyo sehemu moja tu ambayo pc yangu inaweza athirika na malware ni internet. na sababu natumia adblock zile script za matangazo zinazodhuru pc nazo zinablockiwa hivyo nikibrowse nakuwa safe hapa inamaana inabaki mimi vitu ninavyodownload. nikasema tena nadownload vitu sehemu ambazo watu wengi wanadownload mfano torrent, hivyo nakuwa makini kuangalia comments za watu. torrent ni safe mara 10,000 zaidi ya hizi software tunazohamishiana na flash.

nina miaka pengine hata 4 sasa nasurvive bila antivirus na kwenye windows 8/10 nimedisable windows defender mara chache sana nascan ikibidi kutumia kitu ambacho nina wasiwasi nacho. threat ambazo nimewahi kuzipata ni hio migodi ya bitcoin (alioisema sniper) ndio nikamjibu naitoa na task manager, sababu nimeshaitoa kama mara mbili tatu hivi.

kuhusu hivyo virusi vinavyojificha kwennye software nyengine haviwezi kaa hadi viwe na administrator permision. kama una ujuzi wa computer nafikiri unafahamu huwezi paste file kwenye program files hadi uwe na hio permission na mimi huwa siitoi ovyo kwa software nisizozijua, na incase vikipenetrate na kukaa huko revo ipo na hunter mode nitapekua kwenye process na service nikipata suspicious service naipa hunter mode ya revo ambayo inapekua kwenye memory data, process nk mpaka inapata origin ya kirusi, pia ni unlikely sana kupata kitu kama hichi, inshort sijawahi kukipata kwa os za kisasa labda kama unatumia os za zamani kama xp

99% ya virusi vya windows vinamdhuru administrator ukirun os kama guest unaviepuka kirahisi, japo mimi sifanyi hivi ila ni njia rahisi ya beginner kuweza kuepuka virusi kirahisi
 
Hii imekua around kwa muda mrefu sana huku ikijichukulia umaarufu kwa watu wengi kiasi cha watu kuondoa Kaspersky Antivirus ili kuiruhusu SMADAV kufanya kazi kwenye PC zao.
Mbaya zaidi kuna baadhi ya watu wanakua na "Antivirus" zaidi ya moja kwenye PC moja, hii ni mbaya sana kwa usalama wa files zako, na performance ya PC yako..

UPANDE WA PERFORMANCE

Security Applications zote zinafanya kazi ya kuilinda PC yako kwa kuwa active muda wote (background process) na uhitaji processor, RAM na Disk ili kuweza kufanikisha swala la ulinzi, sasa basi pale unapokua na Applications za security zaidi ya moja ndivyo unavyozidi kupoteza system performance ya PC yako..

UPANDE WA USALAMA WA FILES ZAKO

Hii "SMADAV Antivirus" imewapotosha wengi kiasi cha kupoteza document muhimu kwenye flash drive, external hard drive na ata Internal Hard drive zao..

Sifa ya Antivirus nzuri ni kupata Database updates mara kwa mara, uwezo wa kukuonya pale unapoingia kwenye website batili au yenye madhara kwa computer yako.

Kwa SMADAV Antivirus hili lipo kinyume kabisa na Application hii haina features kamilifu za kupambana na malware maarufu kama vbs, au malicious batch files, inachokifanya ni kufanya scanning ya USB Hard Drive yeyote inayokuwa imewekwa kwenye PC husika, na scanning hii haina uimara wa kugundua malware za aina nyingi cha zaidi itakuletea report ya Autorun.inf ambayo wakati mwingine ni executable file zinazokuwepo kwenye baadhi ya flash drives kwa ajili ya Autoplay..

Mbali na hapo SMADAV Antivirus haifanyi direct registration kwenye registry ya PC yako, na pia haipo kwenye list za installed Applications hii ni hatari kwa sababu inamaanisha kuwa SMADAV haijawa certified na Microsoft kama trusted software vendor. Pia size ya hii SMADAV haifiki ata 20MB na unistall process yake inachukua dakika chache sana kama siyo sekunde..

Hivyo basi wakuu wangu ambao mnatumia SMADAV kama Antivirus za PC zenu mziondoe na kuweka Antivirus zinazoaminika na zilizolipiwa nikiaamanisha achana na free Antivirus applications kwa sababu functionality zake zinakuwa chache sana mfano kushindwa kuscan ZIP files au kuchuja website na webpages ambazo ni mbaya(dhuru) kwa PC yako..


Antivirus ninazopendekeza

1. Kaspersky Antivirus au Kaspersky Internet Security

2. Premium AVG

3. Bitdefender

4. Premium Avast Antivirus

5. Norton Antivirus au Internet Security (Premium)

*Premium license inapatiana kwa kununua
*Usidownload product key za Antivirus kutoka kwenye torrent site.


Pamoja Sana Wakuu

Kuna siku utakuja ikumbuka smadav.,mimi naitumia mwaka wa tatu sasa na sijaona tatizo lolote.,nahuwa inanivusha sana kwa hiden files kwenye flash disks..,inascan na.kuonyesha files zilikuwa hidden.,so uta unhidde..kiukwel ni open source na ni strong usb protectir.,download Pro kwenye kat.ph alafu uje utoe ushuhuda.
 
Smadav ni mwisho kurestore hidden files pia kuscan registry... Nakubaliana nanyi kwamba yabidi ipate strong av pekee haiwez kuhimili warusi
 
wakuu pc yangu(desktop) ilikuwa mbovu sana,jana nkapata fundi mtaalamu kanitengenezea imekuwa fresh kabisa.
kaweka av ya Kaspersky sasa kaniambia eti kwa usalama zaidi niwe nai update kila baada ya siku 2, sasa je kunaulazima wa kufanya hivyo kwa huo mda wakuu.. maana maona siku 2 inakuwa mateso sasa... na vipi nisipo update?
 
wakuu pc yangu(desktop) ilikuwa mbovu sana,jana nkapata fundi mtaalamu kanitengenezea imekuwa fresh kabisa.
kaweka av ya Kaspersky sasa kaniambia eti kwa usalama zaidi niwe nai update kila baada ya siku 2, sasa je kunaulazima wa kufanya hivyo kwa huo mda wakuu.. maana maona siku 2 inakuwa mateso sasa... na vipi nisipo update?

Kirusi kikitoka leo kaspersky wakikipata wanatengeneza dawa yake kisha wanakutumia kama updates, mahackers wakigundua exploit microsoft wanatoa patch kuziba mapengo.

Unaweza ukakaa hata mwezi bila ku update ant virus na ikawa na nguvu fresh, ila kama una data za muhimu ni vyema uka update mara kwa mara.
 
Mimi nna mwaka wa 4 sasa sjui antV natumia command kudelete viruses. Ila wazo la uzaifu wa SMADAV Kuwa dhaifu na sometime ina act kama threat au fisher siliping.
 
Kirusi kikitoka leo kaspersky wakikipata wanatengeneza dawa yake kisha wanakutumia kama updates, mahackers wakigundua exploit microsoft wanatoa patch kuziba mapengo.

Unaweza ukakaa hata mwezi bila ku update ant virus na ikawa na nguvu fresh, ila kama una data za muhimu ni vyema uka update mara kwa mara.

asante mkuu nimepata mwanga.
 
Back
Top Bottom