minda JF-Expert Member Oct 2, 2009 1,068 65 Oct 8, 2010 Thread starter #44 au ndio huyu aliyekuwa akiigiza naye? nasikia huyo kanumba naye yuko mbioni kuvuta jiko!!!
M Misterdennis JF-Expert Member Jun 4, 2007 1,741 480 Oct 8, 2010 #45 Kuuliza ni kutaka kupata uwelewa zaidi. Mbona anaitwa jina la kiume?
minda JF-Expert Member Oct 2, 2009 1,068 65 Oct 8, 2010 Thread starter #46 Misterdennis said: Kuuliza ni kutaka kupata uwelewa zaidi. Mbona anaitwa jina la kiume? Click to expand... hiyo ilikuwa sababu mojawapo ya post hii; hata hivyo wanadai majina mengi siku hizi hayafuati jinsia mfano hilary yohana ongezea...
Misterdennis said: Kuuliza ni kutaka kupata uwelewa zaidi. Mbona anaitwa jina la kiume? Click to expand... hiyo ilikuwa sababu mojawapo ya post hii; hata hivyo wanadai majina mengi siku hizi hayafuati jinsia mfano hilary yohana ongezea...
Kituko JF-Expert Member Jan 12, 2009 9,555 9,330 Oct 8, 2010 #47 hivi kukaa mapaja nje katika picha zote ni kawaida yake au yuko kibiashara zaidi
minda JF-Expert Member Oct 2, 2009 1,068 65 Oct 9, 2010 Thread starter #48 Kituko said: hivi kukaa mapaja nje katika picha zote ni kawaida yake au yuko kibiashara zaidi Click to expand... pengine ni pozi la promo tu mkuu.
Kituko said: hivi kukaa mapaja nje katika picha zote ni kawaida yake au yuko kibiashara zaidi Click to expand... pengine ni pozi la promo tu mkuu.
Buswelu JF-Expert Member Aug 16, 2007 1,998 352 Oct 9, 2010 #49 Kituko said: hivi kukaa mapaja nje katika picha zote ni kawaida yake au yuko kibiashara zaidi Click to expand... Anajua ndio uzuri wake na tamaa za wanaume huangalia hapo.
Kituko said: hivi kukaa mapaja nje katika picha zote ni kawaida yake au yuko kibiashara zaidi Click to expand... Anajua ndio uzuri wake na tamaa za wanaume huangalia hapo.