Anti Ezekiel kuolewa hivi karibuni: Na nani???

inabidi tumuulize PDIDY! Lakini takuwa maeneo ya SINZA Hayo

Njiwa, what????? Umuulize PDIDY? Huyu baba siyo marehemu jamani? si ndiye alikuwa wa Maimatha halafu tukaelezwa kafa, mimi sitaki ushahidi, simo1
 
Njiwa, what????? Umuulize PDIDY? Huyu baba siyo marehemu jamani? si ndiye alikuwa wa Maimatha halafu tukaelezwa kafa, mimi sitaki ushahidi, simo1

Acha kudandia gari kwa mbele na kuchakachua mambo PDidy anayemsemea sio huyu ni huyu hapa....

Pdidy
user-offline.png
JF Senior Expert Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
 
katoka kulambwa huyu ana maanaaaa basii

anyway tusije waletea picha za babazenu mkaahama na jf milele msifike tena na huyo binti
anyway mume mwema uppewa na bwana tumsubiri huyo alieshushwa na bwana kwa ajili yake
Acheni kuchafua wenzenu.Kumbukeni huyu ni msanii wa filamu na itakuwa ni moja ya scenes za uigizaji....
 
nitaku-pm khs mchango wa harusi mkuu..






aminia; sasa naamini kweli kwani lengo lako lilianza kwenye post ya januari 3, 2010 kwenye celebrity forum uliposema:

"Jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu Aunt Ezekiel."




 
Angalizo

wewe unaeoa kwanza napenda kukupa hongera kwa kuwa shemeji muaminifu ktk mashemeji wote tuliowakarimu kwa dada zetu ...kwa msaada muulize kwanza babbako unamjua mtu fulan ukiona amfahamu wala mueleko beba mzigo akuna zambi mbaya kama kusehea na baba yako mzazi...na baba zetu siku hizi tangu wajue tinted kwenye gari hadi bajaji wanaweka tinted kuficha uchafu shida tupu..so hili ji kaangalizo tu cha mwanzo hivyo vingine angaza nk...ni mambo yenu binafsi wala atuyagusi kumbuka nakuuliza hili kwa msaada wa mtoto wako unaekwenda kumzaa..dhambi huwa inaroteti usishangae na mwanao akatembea na mkweo...nakaribisha kadi za mchango jamani
 
aminia; sasa naamini kweli kwani lengo lako lilianza kwenye post ya januari 3, 2010 kwenye celebrity forum uliposema:

"jamani nimeona niwashirikishe wenzangu kuona picha za selebriti wetu aunt ezekiel."



angaria asijekuwowa bwaaaaaaaaaanaaaa
 
:becky::becky::becky::becky:maaaaaaaaamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah. :becky::becky::becky:yamekuwa hayo tena. mungu atuepusha na balaa hili.

tunapotea mchana, usiku tunaangukia kwenye mashimo marefu humo hatutatoka. HUYO MTU AGHAIRI NA AKATUBU.

NI AIBU MWANAMUME KUOLEWA NA MWANAMUME:mad2::mad2::mad2::mad2: MWENZAKO
 
wakuu, kuna uvumi kwamba anti ezekiel ataolewa hivi karibuni!!!
Ni vema ikajulikana ni nani atakayefaidiana unyumba na celebrity huyu maisha yao yooooote!!!

cd+(10).jpg

mkuu yeyote atakayekuwa na habari za uhakika atujuze kwasababu kuu mbili...
12.jpg

1. Ili tujiandae kuwatakia maisha mema katka ndoa yao!!!
2. Wenye wivu wajinyonge!!!


mzee wa zipu kama kawa na mapozi yake
 
hapa alikuwa na nani kwenye picha aliovalia taulo tu?


moz-screenshot.jpg
moz-screenshot-1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom