Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde akiongozana na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajabu Shaban leo amekutana na walimu,maimamu na masheikh wa kata wa Jiji la Dodoma na kutoa salamu zake na ujumbe kuelekea sikukuu ya Eid El fitri katika hafla iliyoenda sambamba na kuwashika mkono viongozi hao kwa kutoa Zakatul fitr
Viongozi hao wa dini walitoa shukran zao za dhati kwa Kwa Mhe Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini kupitia kwa Sheikh wa mkoa Dodoma Alhaj Sheikh Mustafa Rajabu Shabani kwa kuwathamini katika kipindi hiki Cha mfungo wa mwishoni mwa Ramadhani.
Mkuu at least tu appreaciate hao wanaotoa mbele ya camera kuliko wale wabinafsi wasiotoa kabisa. Pengine akionekana huyu kwenye media wengine wanaweza kujifunza na kusaidia wengine.
Mkuu at least tu appreaciate hao wanaotoa mbele ya camera kuliko wale wabinafsi wasiotoa kabisa. Pengine akionekana huyu kwenye media wengine wanaweza kujifunza na kusaidia wengine.
Mkuu at least tu appreaciate hao wanaotoa mbele ya camera kuliko wale wabinafsi wasiotoa kabisa. Pengine akionekana huyu kwenye media wengine wanaweza kujifunza na kusaidia wengine.
Binafsi Yatima na Wafungwa natamani kuwa nawatembelea kila mwezi, hiyo jamii inapitia magumu sana, kama unakauwezo ka kubadilisha mboga, watembelee hao watu utabarikiwa sana