Anthony Mavunde akutana na Walimu, Maimamu na Masheikh wa kata wa Jiji la Dodoma

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
664
829
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh Anthony Mavunde akiongozana na Sheikh wa Mkoa wa Dodoma Alhaj Mustafa Rajabu Shaban leo amekutana na walimu,maimamu na masheikh wa kata wa Jiji la Dodoma na kutoa salamu zake na ujumbe kuelekea sikukuu ya Eid El fitri katika hafla iliyoenda sambamba na kuwashika mkono viongozi hao kwa kutoa Zakatul fitr

Viongozi hao wa dini walitoa shukran zao za dhati kwa Kwa Mhe Mbunge wa Jimbo la Dodoma mjini kupitia kwa Sheikh wa mkoa Dodoma Alhaj Sheikh Mustafa Rajabu Shabani kwa kuwathamini katika kipindi hiki Cha mfungo wa mwishoni mwa Ramadhani.

IMG-20210512-WA0012.jpg


IMG-20210512-WA0011.jpg


IMG-20210512-WA0015.jpg


IMG-20210512-WA0010.jpg


IMG-20210512-WA0008.jpg
 
Natamani siku moja tupate jamii ya watanzania wanaotoa misaada hasa kwa watoto yatima bila kujitangaza!

Unapotoa msaada ukiwa na makamera hakika tunashindwa kujua lengo la msaada ni
1. Kupaa kisiasa au kisifa
2. Kusaidia kweli wenye mahitaji
Mkuu at least tu appreaciate hao wanaotoa mbele ya camera kuliko wale wabinafsi wasiotoa kabisa. Pengine akionekana huyu kwenye media wengine wanaweza kujifunza na kusaidia wengine.


Lengo ni wahitaji wapate msaada
 
Mkuu at least tu appreaciate hao wanaotoa mbele ya camera kuliko wale wabinafsi wasiotoa kabisa. Pengine akionekana huyu kwenye media wengine wanaweza kujifunza na kusaidia wengine.


Lengo ni wahitaji wapate msaada

Lengo ni kupata milage ya kisiasa wala sio kutoa msaada
 
Natamani siku moja tupate jamii ya watanzania wanaotoa misaada hasa kwa watoto yatima bila kujitangaza!

Unapotoa msaada ukiwa na makamera hakika tunashindwa kujua lengo la msaada ni
1. Kupaa kisiasa au kisifa
2. Kusaidia kweli wenye mahitaji
Binafsi Yatima na Wafungwa natamani kuwa nawatembelea kila mwezi, hiyo jamii inapitia magumu sana, kama unakauwezo ka kubadilisha mboga, watembelee hao watu utabarikiwa sana
 
Natamani siku moja tupate jamii ya watanzania wanaotoa misaada hasa kwa watoto yatima bila kujitangaza!

Unapotoa msaada ukiwa na makamera hakika tunashindwa kujua lengo la msaada ni
1. Kupaa kisiasa au kisifa
2. Kusaidia kweli wenye mahitaji
Hii picha inaonesha kabisa wamekwenda kutafuta umaarufu

1620840607549.png


Wote macho kwenye tundu la kamera maana yake nini
 
Back
Top Bottom