Anthony Lusekelo: Lowassa mtu safi

Anthony Lusekelo: Lowassa mtu safi

Ulimnywesha?
Ulikuwa waiter..?
Sidhani kama kunywa pombe ni dhambi pia tambua kuwa Lusekelo ni binadamu kama wengine so sioni ajabu hata kama alikunywa pombe maana pombe ni sehemu ya chakula maana hata kwenye amri kumi za mungu hakuna palipo kataza pombe!
 
Kwanza eleweni kuwa kunywa pombe hayo ni maisha yake binafis halafu msihukumu msije mkahukumiwa.... bigup bulidoza
 
Ulivyovaa unaonekana mtu smart .....

Lakini unayoyaongea yanaonyesha kama vile unasaidiwa uwezo Wa kufikiri.....
Kati ya wanajamiiforum ninaowadharau hapa Jamiiforum ni huyu Simiyu yetu. Laiti kama angekuwa anamwabudu mungu asingekuwa na akili uharo kama hii.
 
Lowassa mungu akupe maisha marefu utafanikiwa.waliokutukana sasa wanateseka.hivi yule mkuu wa tanga sijui sh...la amepona
 
Inawezekana ukomo wake unakaribia, Mungu wa kweli hawezikuwaficha watu kama hawao!
 
Mzee wa upako yupo sahihi kwa 101%. Anayempinga akapimwe akili.
 
Si alipimwa mkuu, akakutwa ana alcohol 131 mara ya kwanza, then 121 mara ya pili...
Wewe sema ni kwamba kasema ukweli tu kuhusu hawa viongozi!
Kile kipimo hata Kama umetoka saluni ukaoshwa na spirit nyweke kitasoma una kilevi.Kazi yake Ni kusoma alcohol hata Kama umekula zabibu au ndizi mbivu kitaonyesha umelewa
 
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee khe heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Kaniki hata uifue vipi haiwezi kubadilika na kuwa nyeupe.
 
Back
Top Bottom