Pius J. Kiwarya Lema
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 1,097
- 571
Hekima wakati wa kula inakuwa na maana zaidi ! kuliko kabla au baada
Tatizo mnasoma magazeti ya udaku ambayo huzusha tuhuma ili yauze.Hakusema chochote kuhusu zile tuhuma za kulewa?
Shida tuna matatizo ya akili, kuna tatizo gani kutolea ufafanuzi jambo ambalo umezushiwa?Tatizo mnasoma magazeti ya udaku ambayo huzusha tuhuma ili yauze.
Ni mfano kweli wa kuigwa kwenye kukatwa jina na kuangukia pua kwenye Uchaguzi!!Ni zaidi ya dhahabu. Lowassa ni mfano wa kuigwa
Ukikuta mtu anasoma magazeti ya udaku tambua huyo mtuu ni muongo, mbea na uwezo wake wa kufikiri ni mdogo kiasi kwamba hawezi kuhojii.Shida tuna matatizo ya akili, kuna tatizo gani kutolea ufafanuzi jambo ambalo umezushiwa?
laaanakum maamuma weye yani huyo mlevi umfananishe na Pengo!!!Mzee wa upako ana busara sana kuliko hata kardinali pengo
Uko nje ya mada mkuu!buku saba zimepunguzwa nini?Hili lilevi nalo vipi.
Umesema kweli. Kwanza kupiga kinywaji hata Nuhu ambaye alikuwa anazungumza na Mungu directly alikuwa atakamata masanga na bado Mungu hakumuacha.Mtumishi wa Mungu hasemwi vibaya ila unaacha Mungu atafanya atakavyo. It's advisable not to talk ill of Pastors as God knows how to handle them.
Cardinal ni binadamAcha kumfananisha Cardinal na mambo ya kijinga
Lowasa ni jina kubwa!ahahahaHuyu mzee wa upako mjanja sana, hapo badala ya watu kuendeleza mjadala wa ulevi wake kitakachofuata ni matamshi yake kuhusu Lowassa ndio yatakayojadiliwa, kausoma mchezo vizuri anajua kucheza na mind za watu!
Kwa kuwa idadi kubwa wanamsapoti Lowassa anajua ili kufuta ile aibu ni kugusa pale ambapo wengi watasapoti!!
Chezea bapa wewe, Bapa inaongeza I.Q...
ahahahaLowassa kama Yesu, ila sio Yesu.
Ni kama Yesu vile aiseeee...
Acha kukufuru we lofa!Lowassa kama Yesu, ila sio Yesu.
Ni kama Yesu vile aiseeee...
In vino veritas.Hili lilevi nalo vipi.
Hujafuatilia tu ukaamini alilewa?kwani kuna uhakika alilewa? amesema ukweli mnamnanga.