Anthony Lusekelo: Lowassa mtu safi

HONGERA ALIYEANZISHA THREAD HII KWANI NI KICHWA KWELI KWELI AMEFANIKIWA KUWATOA WATU KWENYE MSTARI WA KUMFUATILIA KWA JAMBO LILE/ NA KUWASOGEZA HUKU,KWELI AKILI NI NYWELE
 
Tumekuelewa mheshimiwa Lusekelo,Ushauri wangu siasa unaiweza kama vipi ingia mazima mazima tu
 

 
Mkuu umeongea pointi lakini ni wachache watakaokulewa maana wengi wanaongozwa na mihemko ya kisiasa.
 
CCM mdandio wakisikia neno Lowasa wana changanyikiwa na kuanza kutapatapa kama mgonjwa wa kifafa
 
Lusekelo haongeagi saana kuhusu mambo ya siasa ,sasa imekuaje !

Mtukufu usimjengee tena ile barabara uliomuahidi,mwambi wajengee haohao anaowasafisha. Aaalah!!!
 
"Mchungaji Anthony Lusekelo awapa onyo Chadema"
 
Ulevi ni nini?

Ulevi ni kashfa?
 
Hata Wayahudi Walimuita YESU kuwa ni MLAFI na MLEVI Lakini mwisho wa siku Walimpigia Magoti.

Tafadhali linganisha vinavyoweza kulinganishwa. Yesu hakulewa ila kwa vile alikaa na watu waliokuwa na historia ya dhambi na ulevi aliitwa kuwa naye mlevi na mwenye dhambi. Lakini wote walevi na wenye dhambi waliokaa na Yesu mwishoni waliokoka na kuacha ulevi na dhambi. Ni tofauti MNO na Lusekelo aliyeenda kwenye ulevi naye AKASHIRIKI ulevi halafu kutoka huko akaja kufanya matendo ya dhambi yaliyochajizwa na ulevi alioshiriki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…