Anthony Lusekelo: Lowassa mtu safi

Mtafutieni supu, hangover huwa inasumbua sana, hasa kama ni ya Konyagi.
 
Kuna muda nawaza hawa jamaa ni spin doctors na wanatumika na serikali kwa malengo yao fulani
 
Mh.Lowassa , Tupo pamoja nawe Mungu Anakupenda nasi tunakupenda Tunazidi kukuombea Na wote waliokusingizia waliokuombea mabaya Malipo hapa hapa Duniani
 
Mzee wa Upako aliwekwa ndani kwa ajili ya ugomvi kati yake na jirani yake.
Very sad. Mzee wa Upako nadhani ndie anamiliki Wapo Radio. Ile radio siisikii siku hizi.
Wakati fulani ilipewa tuzo na Polisi kwa kazi nzuri-Polisi sasa ambao wamemkamata Mzee wa Upako.
 
Lowasa ni Jembe hata sisiem wanamjua mwacheni aijenge CDM 2020 aingie state house aondoe huu umaskini unaoikabili nchi maana alisma mwenyewe anauchukia umasikini
 
huyu ni pombe tupu kichwani
 
Duuuuuu hivi hata upumbavu wa huyu mchungaji Lusekelo mmeanza kuangalia kisiasa, hatari sana.
 
Alipimwa kiwango cha kilevi kichwani kabla ya interview?

Ukiona umeanza kutetewa na watu wenye questionable images kwenye jamii jua hakuna kitu.
 
Mzee wa Upako anasema ukweli tupu lakini ni vigunu sana wachumia tumbo wa CCM kumuelewa.
 
He has a point.
Huyu 'mwizi' kwa nini hakamatwi? Miaka inaenda, wimbo wa fisadi unachuja, hakamatwi, why?!!

KADA
 
Mzee wa upako ana busara sana kuliko hata kardinali pengo


Huyu Lusekelo hana uadilifu wa kumtathmini mtu. Yeye ni mchafu kuliko hao CCM anaowasema. Halafu jambo jingine kati ya Lowassa au KLungunge kwa upande mmoja na CCM kwa upande mwingine, ni nani aliyemkosea mwenzake? Lowassa na Kingunge waliondoka CCM. Sasa hapo ndio CCM iwaombe msamaha? Au CCM kutompitisha Lowassa kugombea urais ndio kosa la kuombwa msamaha?? Nina uhakika Lusekelo sasa anahaha juu chini ili asifikishwe mahakamani. Na kwa nchi hii sitashangaa akitoa kityu kidogo ukasikia hakuna ushahidi japo video yote iko wazi. Nakumbuka mtu anayeitwa Aveva alihamisha pesa ya taasisi akaweka kwenye private account yake polisi wakadai wanachunguza ila hadi leo imeshasahaulika. Nchi hii bhana
 
Mlevi tu huyu. Kwanza awaeleze watu juzi anarejea kwake alfajiri kumekucha na kuzua ugomvi kutukana watu barabarani hadi kuwekwa ndani ilikua kisa gani. Sasa anaingia siasa sijui biashara ya kanisa inamshinda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…