Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,406
Diallo na mdg wake Manyala walijipemdekeza sana kwa msukuma mwenzao, mpk wakamchafua Lowasa wewe. Natamani greda likavunje vunje kile kigorofa chake na arudi kwao akalime pamba tu
Lowasa akanunua sahara kama itauzwa kwa mnada...wanavifaa vyenye nguv sn
Mimi piaNaimis BBC tu
Post sent using JamiiForums mobile app
Watu wanamjadili Diallo kwa kumuona magazeti.Diallo ni habari nyingine kabisa atapeta tu
Mkuu hapo alipofika ni vigumu kutoboa tena, ila ngoja tuoneWatu wanamjadili Diallo kwa kumuona magazeti.Diallo ni habari nyingine kabisa atapeta tu
Mnaanza kuhamisha magoli taratibu. Unakumbuka wakati Bashite analazimisha apewe air time startv mlisema nini?Diallo alikuwaga team Lowassa kabla hajahamia team Membe,lazima akiwa Team Lowasa alifanyaga figisu kubwa mpaka naona hata favor hafanyiwi tena.JK njoo umuokoe Diallo atakufa kwa pressure.
Kutumia vyombo vyake kuwasaidia tasisi ambayo Mwenyezi Mungu ameshawang'anya kibali hapa duniani hapo hawezi baki salama. Machukizo kwa Mungu majibu yote utayapata hapahapa dunia tukumbuke vyombo vilitumika kuwakebehi waliopewa kibali mpaka mtu mzima Yaani anaambiwa anajinyea kupitia hayo utapona wapi. Musa alitumika kuwavusha Wanaizrael kwenda ktk nchi ya ahadi kwani maadui wa Musa walivuna lipi la maanaKwahiyo snafanyiwa figisu,au yeye mwenyewe kashindwa biashara?
Kweli kabisa mkuu.Ndio maana watu wanakwepa kodi ili watanzania wakose huduma za kijamii.Ila watanzania hatupendani sana
Povu zito la kutetea uhalifuMnacho sahau kila mfanya biashara ana madeni hilo ni jambo la kawaida kabisa - Serikali yenyewe ina madeni sembuse Dk.Diallo? Kama kuna wanao mdai au masuala ya kodi sina shaka watafikia muhafaka wa jinsi ya kulipana - watapeana timeframe ya kupunguza deni na siyo kufunga makampuni/ biashara zake, Dk.Diallo alianza kufanya biashara/Makampuni/Viwanda tangu enzi za Baba wa Taifa, si mtu wa kuchukuliwa kimzaa mzaa, kama kuna tatizo walimalize kistaarabu.
Hapa naona baadhi ya members wa vyama vya upinzani wamevalia njunga suala hili wakati hawajui kinacho endelea - wanaweka mbele chuki binafsi tu, kisa? Eti kwa nini hakushirikiana na MOAT kumkandia RC wa Mkoa wa Dar - mambo ya kitoto kabisa!!
Kwanza MOAT wana mamlaka gani katika Taifa letu zaidi ya kutumika kisiasa - nani hakushuhudia maigizo yao yaliyo kuwa na lengo la kujaribu kumshinikiza JPJM amfukuze kazi Makonda wa watu, ukijaribu kutafakari hoja walizo kuwa wanatoa zote zilikuwa zinaonekana wazi wazi zimechongwa tu, wakati mwingine sisi Watanzania tunakuwa na tabia za ajabu sana.
Hii ndio fact mengine ni mipasho tu. Lowasa never associate himself with Diallo. Diallo is an idiot over used by JK region akidhani ata last forever, akawa anakipigia upatu CCM akijua tax holiday and other favour will be his paradise.Diallo hajawahi kuwa rafiki wa Lowassa.... na si kila aliyekua kwenye mtandao basi 100% waliiva na Lowassa....
Hayo ya community airlines ni stori ndefu sana ila kiufupi Diallo na Lowassa hawajawahi pikika chungu kimoja.
Post sent using JamiiForums mobile app
Wakati akimpigia msukuma kampeni 2015,Mlikuwa mkimsifia sana Diallo na kusema ni kada mtiifu kwa chama.Ila leo na akili zenu za kishikiwa,Mnamgeuka na kusema anakwepa kodi,Ulishawahi kujiuliza kipindi cha kampeni pia alikuwa anadaiwa kadi pia na ndio lengo la kumsupport Ngosha ili ampe ahueni akipata urais?...Angekuwa yule jamaa tungesikia kakimbilia mahakamani,na watu wake wangekuwa wanaimba wimbo wa kaonewa Dj,kaonewa Dj!