bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 874
Hapana Ni mawili FU na NGAFUNGA ni neno moja tu
Post sent using JamiiForums mobile app
Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
Hapana Ni mawili FU na NGAFUNGA ni neno moja tu
Post sent using JamiiForums mobile app
Afu kwel yule mmasai anaweza kununua pesa ipo pale wale sahara mitambo yao ina nguvu balaaNaona edo anapiga push up kununua sahara media....ngoja siku 14 ziishe
Post sent using JamiiForums mobile app
Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Mwanza Anthony Diallo yuko kwenye nafasi mbaya kisiasa, kimaisha, kibiashara na hata
Kwa kifupi hivi sasa Diallo kashika njia inayoelekea katika lango kubwa lililoandikwa OFISI YA MUFLISI.
Sasa hivi ajue presha, kisukari au ugonjwa wa moyo utagonga hodi......maana najua vidonda vya tumbo tayari anavyo.
Ccm ni ile ile
Post sent using JamiiForums mobile app
Acha uongo, unadanganya umma kwa maslahi ya nani . kuna kodi ya majengo ambayo ccm wanatakiwa kulipia majengo yao, fuatilia uone kama ccm wanalipia majengo yao yaliyopo nchini kwa 100% . yeye ndiye kaagiza tra majengo ya ccm yaliyopo mikoani walipie 40%- 50%. tu. Ina maana kama ccm mkoa majengo yao inabidi walipe milioni 80, wanalipa milioni 40 . ,kadanganye wajinga wenzako huko lumumbaMh.Rais wetu Magufuli hana urafiki na mkwepa kodi hata kama ni mkewe au mwanawe wa kumzaa.Asipolipa kodi funga biashara.
Amewambia TRA maneno mawili tu FUNGA.
Hata kwenye vituo vya mafuta ni maneno mawili tu "FUNGA".
Iwe ni kada wa CCM au nani asipolipa kodi FUNGA biashara .
Maneno ni mawili tu FUNGA.
Post sent using JamiiForums mobile app
Uwongo wangu umesaidia hili nalo kujulikana .Acha uongo, unadanganya umma kwa maslahi ya nani . kuna kodi ya majengo ambayo ccm wanatakiwa kulipia majengo yao, fuatilia uone kama ccm wanalipia majengo yao yaliyopo nchini kwa 100% . yeye ndiye kaagiza tra majengo ya ccm yaliyopo mikoani walipie 40%- 50%. tu. Ina maana kama ccm mkoa majengo yao inabidi walipe milioni 80, wanalipa milioni 40 . ,kadanganye wajinga wenzako huko lumumba
Umeelewa lakini.FUNGA ni neno moja tu
Post sent using JamiiForums mobile app
Diallo na Lowassa hawakuwahi kupikika chungu kimoja,kumbuka alishangilia waziwazi pale EL alipopata "ajali ya kisiasa" kwani inafahamika wazi kuwa Diallo alihamishwa toka Wizara ya Maliasili kwa shinikizo la ELDiallo alikuwaga team Lowassa kabla hajahamia team Membe,lazima akiwa Team Lowasa alifanyaga figisu kubwa mpaka naona hata favor hafanyiwi tena.JK njoo umuokoe Diallo atakufa kwa pressure.
Lakini unawapongezaje wakati wanafanya kazi bila kutumia akili? Taasisi kubwa Kama ile inao watumishi wengi sana ambao ajira Yao ndio maisha Yao. Wanashindwa nini hao TRA kudhibiti mapato ya Sahara na kukata sehemu ya deni Lao kidogo kidogo kulifidia huku maisha ya Watanzania waliopo pale yakiendelea?Acheni kuingiza siasa kwenye masuala ya kodi. Walichofanya TRA Ni kujitenga na siasa na kufanya kazi waliyosomea, wanatakiwa kupongezwa na sio kubezwa
Mwisho wa kujitenga na Watanzania aliowaona hawana akili na kuamua kutumika kama toilet paper ndo majibu yake hayohahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh sasa mnam pressurize mpaka afe hizo 4bl mtazipata ? badala mumuambie afanye kazi usiku na mchana arudishe pesa mnaleta kukomoana kwa hali hii hatujengi maze tunabomoa acheni ushabiki wakijinga watanzania wangapi wanakuwa wamepoteza ajira kwa ujinga huu wa kufungiwa biashara kisa kodi kwani jamaa anahama wakae wayamalize walipane pole pole, watanzania wengi ni losers ndio maana mnashabikia ujinga mnaona sawa tu
Mfanyabiashara na madeni ni jambo la kawaida kama ndiyo hivyo si awalipe wanaomdai .Yaani madeni ni jambo la kawaida basi yeye atakuwa na roho ya plasticMnacho sahau kila mfanya biashara ana madeni hilo ni jambo la kawaida kabisa - Serikali yenyewe ina madeni sembuse Dk.Diallo? Kama kuna wanao mdai au masuala ya kodi sina shaka watafikia muhafaka wa jinsi ya kulipana - watapeana timeframe ya kupunguza deni na siyo kufunga makampuni/ biashara zake, Dk.Diallo alianza kufanya biashara/Makampuni/Viwanda tangu enzi za Baba wa Taifa, si mtu wa kuchukuliwa kimzaa mzaa, kama kuna tatizo walimalize kistaarabu.
Hapa naona baadhi ya members wa vyama vya upinzani wamevalia njunga suala hili wakati hawajui kinacho endelea - wanaweka mbele chuki binafsi tu, kisa? Eti kwa nini hakushirikiana na MOAT kumkandia RC wa Mkoa wa Dar - mambo ya kitoto kabisa!!
Kwanza MOAT wana mamlaka gani katika Taifa letu zaidi ya kutumika kisiasa - nani hakushuhudia maigizo yao yaliyo kuwa na lengo la kujaribu kumshinikiza JPJM amfukuze kazi Makonda wa watu, ukijaribu kutafakari hoja walizo kuwa wanatoa zote zilikuwa zinaonekana wazi wazi zimechongwa tu, wakati mwingine sisi Watanzania tunakuwa na tabia za ajabu sana.