Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,531
- 18,244
Unanilazimisha niwe utakavyo?Yan shabiki wa Magufuli usiwe Ccm tena kipinɗi hichi..!!! Utakuwa kisanɗuku wew
Unanilazimisha niwe utakavyo?Yan shabiki wa Magufuli usiwe Ccm tena kipinɗi hichi..!!! Utakuwa kisanɗuku wew
hatari sanaHii nchi imewekwa rehani yaani wanakaa vikao vya siri alafu siri zinavuja kibwege tu ndio maana yule PK anamburuza bwana yuleee maana ashaujua uwezo wake.
Pole kwa wote waliokutwa na kadhia hii Mungu awafanyie wepesi inshaallah ipo siku moja tu tutasema na hili limepita pia.
We nawe ni mjima kweli kweli. Inaonekana unatokea kwa akina matonya.Huko Finland anajuaje mambo ya ofisini kwa dci kama sio uzushi tu.
Aliyoyasema yametokea, aibu ya nani sasa? Mungu Baba hadhihakiwi unafiki haujawahi kumuacha mtu salamaAsberti ngurumo,nakuombea sn kw mungu uishi maisha malefu ili uje uipate aibu yako mbeleni.
Kuna watu utafikiri wenyewe wana sehemu nyingine ya kukimbilia. Kumbe watakaoteseka hasa ni mama zetu, dada zetu na watoto wetu. Nilikuwa Congo mwaka juzi. Niliyoyaona kule yanatisha. Ee Mungu kikombe hiki na kiipite nchi yangu niipendayo. Mungu Ibariki Tanzania
Tundu Lissu alikuwa ni kiongozi wa waimba mapambio? Na zile risasi 38 kumiminiwa alikuwa sanamu ya mazoezi ya shabaha? You hate politicians but you love dictatorsI hate politicians. Kweli uue kiongozi wa siasa kirahisi tu? Tuache kupanda mbegu za uongo na chuki. Tanzania ni yetu sote
Maendeleo bila kuua, kupiga, kuwafunga wanaokukosoa hayawezi kuja? Viwanda vinafungwa, vinapunguza wafanyakazi, biashara zinafungwa kwa roho mbaya toka juu kuwapa maelekezo TRA kuongeza kodi ili zifungwe atimize azma yake ya watu kuishi kama mashetani.Ni anahisi kuwa ni raisi wa Tanzania, anataka kutuletea maendeleo - Kama viongozi wa nchi zilizo endelea ambao hawakuishi milele. Hivyo usitumie kuishi milele kumkatisha tamaa raisi wetu. Je maraisi Amerika wameishi milele? ni raisi gani mzuri aliye wahi kuishi milele? Je wewe utaishi milele? Kwa hiyo unataka aiuze nchi yetu kwa sababu hataishi milele!
Sijui kama atakujibu, na akijibu sijui kama kitakuwa na mantiki kwenye jibu lake, ila akijibu kitu cha maana naomba unitag nimsomeOky na Leo ilivyotokea n chadema wamepanga??
Halafu unasema una hekima?????
Uko shimogani mkuu !!? kwa ulimwengu wa sasa bado unauliza hili swali,Huko Finland anajuaje mambo ya ofisini kwa dci kama sio uzushi tu.
Ni kwel kabsa anaweza kuisikiliza kulko hao maaskofu tena wakabaki wakishangaa jinsi ulivyojibiwa ,ili mradi usiwe mnafki,muuaji,mtekaji,mbakaji ...maana Mungu anasema maombi ya wenye dhambi ni makelele na machukizo mbele zangu ..Mungu ninayemwamini na kumwabudu huwa Anasikiliza sala za kila mtu. Huenda sala yangu Ataisikiliza kuliko hata hiyo sala ya wachungaji kwa sababu nao ni binadamu tu kama mimi. Nitaendelea kuiombea nchi yangu bila kukoma na Mungu Ataiepusha na wingu hili zito linaloinyemelea. Sitaki nchi hii iingie katika machafuko wanawake na watoto waanze kuhangaika. Ingekuwa ni wanaume pekee aisee nisingekuwa na shida kabisa. Tungezichapa tu ili tuheshimiane. Tatizo machafuko na vita huwa havina macho mkuu na wahanga wakuu huwa ni wanawake na watoto...
Waraka wa Chadema kama chama cha siasa wanautolea bungeni ambako faru John na msaidizi wake wamejipanga kuhakikisha wanawabana wasifanye kazi yao.Wakiutoa waupeleke wapi?
“Kamata, funga, poteza, ua, kabla ya 26/4...”
Kwa hiyo wapotezwe na kuuliwa wakiwa kifungoni?
Ansbert Ngurumu ulichosema jana kimetimia. Unabii umetimia. Kweli hii serekali inavuja kama alivyopata kusema Dr Slaa. Kila mnachopanga kukifanya mkimaliza kikao tu siri inavuja.[/QU
Hamna kitu
Kwa kufanya hivyo wanazidi kuweka petrol kwenye kuni kavu[/QU
Kweli. Hasa mitandaoni.