na litapita tu, maana hawataishi milele, ila wana hatari kubwa mbeleni, viongozi wanauwoga pia,wengine wanashindwa kukosoa wanaamua njia pekee ni kuvujisha siri tu, wengine hawapendi mambo ya serikalii basi tu wafanyeje na hali ndio imeshakuwa hivi, mpaka mtu unatamani kumuombea mabaya tu bwana mtukufu.....Hii nchi imewekwa rehani yaani wanakaa vikao vya siri alafu siri zinavuja kibwege tu ndio maana yule PK anamburuza bwana yuleee maana ashaujua uwezo wake.
Pole kwa wote waliokutwa na kadhia hii Mungu awafanyie wepesi inshaallah ipo siku moja tu tutasema na hili limepita pia.
Namba ya maajabu 26042018.
Nipo Butiama huku wazee wanapindua juu chini, lazima adate huyu jiwe
Kwani hawajakamatwa bado? Sijaona petroli kwenye kuni kavu wala kibiriti!Kwa kufanya hivyo wanazidi kuweka petrol kwenye kuni kavu
mimi nawaza tatizo ni katiba au, maana hata hii tulionayo inavunjwa!!! ningependa kazi kama Majaji,wakuu wa idara wawe wanagombe hizo nafasi na sio kuwekwa na mtu aliyepo madarakani, hivi unapewa nafasi na Mtu, eti kunauwezekano wakumkosoa kweli,haiwezekani, kila atakalotaka liwe hata kama ni wrong litakuwa hivyo hivyo
tunaongea tunachokijuaYametimia kweli akina Mbowe kunyimwa dhamana
Imeandikwa Mwaume utakula kwa jasho.......
Yan shabiki wa Magufuli usiwe Ccm tena kipinɗi hichi..!!! Utakuwa kisanɗuku wewMkuu majuzi nilienda maeneo ya Mbezi kwa Musuguli. Nikakuta vijana wametengeneza kibanda na kupaka rangi na kuchora nembo za CCM na kauli mbiu ya hapa kazi tu.
Walikuwa wanagombea kupiga picha kwenye lile banda.
Nilishangazwa sana tangu lini CCM ikapendwa huku kwa waliobomolewa tena uchaggani?
Nikapata ujasiri wa kuwauliza nyie mtaandamana kweli kwa mapenzi haya ya CCM?
Walinjibu kwa swali, Tuandamane kwa sababu gani?
Tunaandamana sababu tumeambiwa na mtu aliyeko marekani?
Watu wamebanwa kidogo tu kuhusu ufisadi na uwajibikaji wanataka tufe kwa ajili yao?
NB: Kwa jinsi nilivyoona huko Mbezi na mitaani naku hakikishia hakuna maandamano.
Hizi ni kelele za watu wachache mitandaoni. Hata tukianza kuwahesabu hapa JF hawifiki 600.
Mimi sio mwana CCM na niliwahi kuwa shabiki wa CHADEMA sasa sitaki kuwa shabiki wala mwanachama wa chama chochote bali shabiki wa Magufuli na shabiki wa mabadiliko ya kweli yanayoleta maendeleo, umoja na usawa ktk taifa.
Ɗah we utakuwa umekuja au umeruɗi Tz jana. Pole sanaI hate politicians. Kweli uue kiongozi wa siasa kirahisi tu? Tuache kupanda mbegu za uongo na chuki. Tanzania ni yetu sote
Kam bomberɗierMungu sikuhizi anawajali wapinzani tu! Serikali mungu haioni? Mbona ndiyo inafanikiwa tu?
Bila shaka umeishapata mahali salama pa kuandika unavyotaka! Hongera sana!Kikao cha siri ofisini kwa DCI Alhamisi kiliamua Mbowe na wenzake wapelekwe mahakamani Jumanne 17:03:2018, wanyimwe dhamana, kupima joto. Leo Jumatatu katika kikao cha Mwanza, ukumbi wa BoT, kwa maagizo kutoka juu, azimio ni "kamata, funga, poteza, ua watu hawa" kabla ya 26:04:08
View attachment 726876