hivi huyu jamaa anafikiri sisi bado tumelala, ahadi za nini wakati huwezi kuzitimiza, we kama mchapakazi toka lini ukaenda kwa bosi wako et oh mimi nafanya kazi hii kesho nitafanya hivi, hata bosi wako ataona una walakini fulani, so the guy is trying rip his shoulders whilst been broken already, we dont want all those craps--anaongea kompyuta wakati madawati yenyewe hakuna vyumba vya kusomea hakuna, walimu wa kufundisha hizo kompyuta hakuna, walimu kila siku hawalipwi mishahara yao---
Mr President might not be serious, kuna ishu kibao ziko on the table with pending solutions halafu anakuja na computer--lol!!