Another crash...Kasindeeee and Kiki?!

Another crash...Kasindeeee and Kiki?!

Daaah mbona shuhuli kamanihivo bora niendelee kuwa single stranger sometimes wabaya....
Kasinde,kama umeumbwa kuvutiwa na wanaume usiowafahamu, tena kwa kuwaona passport size tu, uwezekano wa kolewa na total stranger ni mkubwa sana.Ikitokea hivyo, itabidi utumie muda mrefu sana kumfahamu huyo mtu kwa undani.Itakuwa hatari kwako kama kwa mfano utamfahamu mwezi September halafu mnafunga ndoa November!
 
Last edited by a moderator:
Kasinde,kama umeumbwa kuvutiwa na wanaume usiowafahamu, tena kwa kuwaona passport size tu, uwezekano wa kolewa na total stranger ni mkubwa sana.Ikitokea hivyo, itabidi utumie muda mrefu sana kumfahamu huyo mtu kwa undani.Itakuwa hatari kwako kama kwa mfano utamfahamu mwezi September halafu mnafunga ndoa November!
Daah usemayo ni kweli ila.... wacha nione inakuweje
 
Last edited by a moderator:
Ile ndege ya malaysia iliyobeba watu 239..wasio na hatia wakapotea.Bora ingewabeba wajumbe(wabunge) wa katiba ikapotea nao kuliko vitu wanavyofanya Bungeni.

vipi mkuu naona unawalaani sana, hii ni mara ya pili naona post yako ya kuwalaani hawa vibaraka wa "bunge movie"!
 
Mwaka ukiisha tutakupa zawadi ya The crush of the year ije kwako
 
Mimi huwa situmi bali huja mwenyeweee

Nakuvizia tuu kwenye packing, lazima nikukate mtama Mentor ameshakwambia? Maana uchokozi wako unaendelea tuu
 
Last edited by a moderator:
watu8 ndo nani huyo?

Jamaa mmoja hivi ana 8 pack mweupe kidogo some how maji ya kunde yaliyokoa ila si mweupe sana, mrefu wa wastani, ni daktari, anakaa.... anafanya kazi.... town city kwenye jengo moja refu sana. akiwa kitaa hupendelea kuvaa sun glasses za ki spy... ukikutana na kijana wa namna hiyo basi ujue umekutana na watu8 wasifu mwingine atakuja kuuongezea mwenyewe looh
 
Last edited by a moderator:
Lahaula...!!!

Jamaa mmoja hivi ana 8 pack mweupe kidogo some how maji ya kunde yaliyokoa ila si mweupe sana, mrefu wa wastani, ni daktari, anakaa.... anafanya kazi.... town city kwenye jengo moja refu sana. akiwa kitaa hupendelea kuvaa sun glasses za ki spy... ukikutana na kijana wa namna hiyo basi ujue umekutana na watu8 wasifu mwingine atakuja kuuongezea mwenyewe looh
 
Jamaa mmoja hivi ana 8 pack mweupe kidogo some how maji ya kunde yaliyokoa ila si mweupe sana, mrefu wa wastani, ni daktari, anakaa.... anafanya kazi.... town city kwenye jengo moja refu sana. akiwa kitaa hupendelea kuvaa sun glasses za ki spy... ukikutana na kijana wa namna hiyo basi ujue umekutana na watu8 wasifu mwingine atakuja kuuongezea mwenyewe looh

Nshawahi kumuona vichochoro flani huku masaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom