Another crash...Kasindeeee and Kiki?!

Another crash...Kasindeeee and Kiki?!

Ameshanunua gari lingine? ni muda sasa sijamuona!!!!:tape:

Unaplay under cover eeehh!! Mnajuana nyie halafu na wewe ila basi ngoja pasaka ipite kwanza.
 
Halafu nilitaka kusema hili mara zote napata mgongano huo hata wanja sijapaka, yaani sijapaka poda wala lips shine wala make up ya aina yoyote. Nilikuwa naturali ila jamaa akaanza na mambo!! Na kama yako ni duet haukuwa wewe tha car was nissan na nyuma ya gari siti ya nyuma alikuwa ameweka tenga la plastiki kama la kuwekea pakti za maziwa au mikate. Sorry braza it wasnt u!!
ni kweli kuna jamaa ana gari la hivo anaishi tabata kimanga, anapaki hilo gali lake kwenye bar inaitwa abc. nitakusaidi kumfikishia ujumbe huu. nitachukua namba yake ya simu then nitakupm.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom