Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,285
- 108,305
Ni crash au crush?
Itakuwa ni nyege
Ni crash au crush?
Ni crash au crush?
hahahahah dah elli umetisha jaman!..Ile ndege ya malaysia iliyobeba watu 239..wasio na hatia wakapotea.Bora ingewabeba wajumbe(wabunge) wa katiba ikapotea nao kuliko vitu wanavyofanya Bungeni.
excel my dia kuolewa ni homa ya kila mwanamke hapa mjinkumbe main point hapa ni kwamba,
HUJAOLEWA!!!
Ni crash Cheupe.
Yaani mioyo yao imegongana, ila hakuna majeruhi...!
halafu kasinde, kwanini crash zako zoote ni za uswazi?? lols!
hebu siku moja chepuka hadi road za baharini baharini huku na ubalozi wa US uone kama utapata crush!
kuna watu wako bize mjini humu hadi huruma...!
hahaa!! naanzisha mradi wa kuwapatia waume!excel my dia kuolewa ni homa ya kila mwanamke hapa mjin
You might be right though I dont think so coz nilishaamuaga kuwa single for my own reasons sasa hz crash zanchanganya why zije kwa kufuatana na zinaonekana kuwa na nguvu japo napigana nazo nibaki kwenye set yangu ya u single....Hamna crush wala crash dadangu Kasinde, kuna kitu kimejengwa akilini tu... siwezi kuisemea nafsi yako ila loneliness is a b***ch, you terribly need a companion... ukimpata hao wa njiani zitakuwa "hadisi" tu.
nicas sio tangazo bhana
Anza kupanda daladala! Huko lazima uopoe