tian
JF-Expert Member
- Jul 27, 2007
- 1,770
- 538
Nichedi, z'a hako?...lol
Ninekuzanga kim'pare rumburia.
Haahah....Mtaniiiiiii,Rewedi?
Nichedi, z'a hako?...lol
Ninekuzanga kim'pare rumburia.
Habari za mijengo yenu wapendwa, leo tena imejirudia crash kama ile ya kipindi kile sasa sjui mie ni wa crash tuu. Na kama wakati ule sijapata nafasi ya kuchukua namba ya simu ila tulipigiana honi tuka smile.
Mara hii nilikuwa natoka airport kufatilia mzigo flani nikasema wacha nipite sokoni buguruni nichukue matunda ya kutengeneza smoothie za wiki nzima. Sasa narudi home kupitia mandela road nikiwa kwenye mataa ya buguruni ikaja nissan march T....CSL ilikuwa ya rangi ya orange. Tumetazamana weeh mwisho tuliporuhusiwa tukiwa mandela road ndo tukapigiana honi, this time nilikuwa kwenye grand noah V6, sasa mie nikabaki nyuma nilikuwa naenda sped 40 yeyeakatangulia akaniacha ila kufika tabata kubwa nikaona anakata kuelekea tabata basi ndo ikaishia hapo.
Nimejiuliza tuu, nitapata mume kupitia crash za barabarani hivi maana hii mara ya pili sasa. Halafu huyunaeni m cutee, yaani hand some kweli mmmhhh Kasinde mie nini kinanitokea...???
Ntarudi kwenye bajaji maana naona hizi crash.... sjui mwisho wake labda ndo husband anakuja kwa njia hiyo.... let me see mwisho wake utakuweje....!!!!
Usiku mwema nyote!!
kumbe main point hapa ni kwamba,
HUJAOLEWA!!!
Lets finish it up once and for all...Abeee....
hahaa!! naanzisha mradi wa kuwapatia waume!
waonaje hilo wazo mamii?
Nichedi, z'a hako?...lol
Ninekuzanga kim'pare rumburia.
Huo ndo ulimbukeni aisee sea huo handsome wake au hyo Nissan inakusaidia nn?
Priotize UA need well
U have a car t means una 'kauwezo" deal mbili Tatu mini hapa unaweza
Sa gari inakuvhanganya nn?
2 he is handsome probably supper handsome as the previously.one so what?huo handsome unakusaidia nn?
Wenzko wangap wamemuona?
Huo ndo unakufanya unions malkia au unakuridhisha in bed?
Au ndo utaleta ugali nyumbani?
au mwenzetu huo handsome wake ndo utakufanya ujiskie malkia?
Am not mean but u just a girl not a woman enough halaf mwisho wasiku mkijuta ana amdem mia au he cheats mnakuja juanIsha another thread like "all men are dogs" ***** ntakujibu hata babako
Tatizo ukishatokea huwa naskia aibu hadi miguu inagongana....... sasa kuongea ntaweza kweli, ntaishia kung'ata kucha tuu na kukimbia halafu naogopa ila sijui naogopa nini.....
Mmmhhh what I know is am in a crash hayo mengine english tuu, pia uzuri wa kitu kukitizama.... wapata rahaa moyoni
Chedi, ila mmmhh simanyi chathuu nakithikia tuu heheheeee, usiendelee zaidi bana mie naishia hapo nilikaa sana na wapare nakisikia ila kuzungumza ni maneno mawili matatu, napenda sana kusikia wapare wakiongea chathuu.
Haya nitafsirie hapo ndo umemaanisha nn hiyo sentensi ya pili
Haahah....Mtaniiiiiii,Rewedi?