Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

Anne Makinda: Sitogombea tena ubunge 2015

Uamuzi mzuri kupisha damu changa kushika uongozi.Ila kwa ujanja wao hata ubunge wa kuteuliwa ataenda ili awe tena spika ndo mchezo wao huo
 
Hivi kwanini huwa anatembea upandeupande au kama vile bega moja chini.
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI

Nyumba ya nini wakati anakaribia kufa, ukitumia masaburi kufikiri mara nyingi unakuwa kituko
 
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI

Nilimwona akiongea! Very emotional! Bila shaka mapambazuko yakaribia!
 
Wanyalu tunajipongeza kwa kupata Mbunge speaker wa TZ.

My humble opinion: Namuomba DEO MWANYIKA agombee jimbo letu la Njombe Kusini baada ya Makinda kutoka.
 
bungeni ni eneo la kumfanya mtu kuwa maskini na sio tajiri na yeye amekopa pesa benki ili jange nyumba by spika makinda chanzo ITV & TBC 1 na pia metangaza kustafaa 2015

Miaka yote hii hajajenga nyumba kwao lakini ana majumba mengi tu hapa Dar es salaam!!
 
Eti yeye (Madam Speaker) ni mkristo aliyosema ni kweli kabisa! Kuna mwana JF amesema kuwa huyu madam ana basi 8, route Dar/Songea; haya tena, kumbe anamiliki ghorofa 2!

She also owns a block of apartments in Msasani!! Also has interests in a modern hotel in Njombe town.
 
Kwa kumbukumbu zangu alianza Ubunge kupitia Umoja wa Vijana pamoja kina Lowasa na Kikwete.
Wengine siwakumbuki sawasawa.
 
Unajua wakati mwingine ni kama watawala wetu wanatufikiria kuwa sisi ni mazezeta wa aina fulani hivi; sasa kama mtu analia umaskini na kuwa ni Bungeni ni sehemu ya umaskini wa "kutupwa" kwanini anataka kusubiri hadi 2015? Kwanini asiamue - katika jitihada za kuukwepa umaskini - kuachia ngazi sasa hivi akaende kufanya shughuli zake binafsi?

Kinachonishangaza mimi mbali na kusema ni eneo la umasikini wa kutupwa?, kweli spika? kweli?. Hivi ugomvi wote wa kutaka kugombea ubunge kwa CCM ni ugomvi wa kugombea umasikini wa kutupwa?.

Mbali na hilo linalonishangaza kwa kuonesha kuwa anasema hana hela na kutaka kukopa ili ajenge, je lile ghorofa la pale kijitonyama mabatini lililozua mgogoro na wakazi kwa kufunga njia ni la nani?, au alikuwa ana maanisha kuwa hana nyumba katika jimbo aliloliwakilisha kwa miaka 17?

 
Last edited by a moderator:
Mh. Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano amesema kuwa hato gombea ubunge chaguzi mkuu ujao. Amesema anataka kukopa pesa arudi kujenga nyumba.

Sorce: ITV, HABARI YA SAA MBILI

Humble way ya kuomba na yeye ajengewe nyumba ya kustaafia ...na serikali.....,Kama mwezake alivyojijengea ofisi ya spika jimboni.......
Sasa Kama kila anayekuja atatAka ajengewe Kwao ...na bado sheria ya mafao haijasema kuwa spika snake hewa nyumba ....tutafika kweli...?
 
Angetangaza kujiondoa uspika mwaka huu! Hizo hadithi za 2015 ni unafiki amesoma nyakati
 
  • Deo Mwanyika mbunge 2015 Njombe

Let us support him because of his inspirational ideas, CREATIVE STRATEGIES!

DEO MWANYIKA HOYEE! OUR 2015 MP NJOMBE, AS A FAVORABLE REPLACEMENT TO MAKINDA.

Take further note: TUMUUNGE MKONO JANANI WANYALU!
 
Back
Top Bottom