KIHENGE
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 339
- 98
unasubiri nn kufuta mkuu? Chukua ufutio fasta futa
akili ya chekechea hiyo!
unasubiri nn kufuta mkuu? Chukua ufutio fasta futa
Mama Makinda amekiri bungeni kuwa hajapata taarifa yoyote kutoka kambi ya upinzani kama imepata dharula na haita shiriki kwenye kikao cha leo cha bunge, hivyo kambi hiyo imeshindwa kuwasilisha hotuba yake. Jambo lililo pelekea bunge na taifa kukosa maoni ya upinzani kuhusiana na bajeti ya serikali.
My take;
Mbowe umeonyesha udhaifu wa hali ya juu leo, yani umeonyesha jinsi gani unavyo endeshwa na hisia na kutokana na hilo umekuwa ukitoa maamuzi ya kukurupa ambayo ndani yake hayana tija.
Kiongozi aendeshwi kwa hisia bwana Mbowe.
Mama Makinda amekiri bungeni kuwa hajapata taarifa yoyote kutoka kambi ya upinzani kama imepata dharula na haita shiriki kwenye kikao cha leo cha bunge, hivyo kambi hiyo imeshindwa kuwasilisha hotuba yake. Jambo lililo pelekea bunge na taifa kukosa maoni ya upinzani kuhusiana na bajeti ya serikali.
My take;
Mbowe umeonyesha udhaifu wa hali ya juu leo, yani umeonyesha jinsi gani unavyo endeshwa na hisia na kutokana na hilo umekuwa ukitoa maamuzi ya kukurupa ambayo ndani yake hayana tija.
Kiongozi aendeshwi kwa hisia bwana Mbowe.
Mama Makinda amekiri bungeni kuwa hajapata taarifa yoyote kutoka kambi ya upinzani kama imepata dharula na haita shiriki kwenye kikao cha leo cha bunge, hivyo kambi hiyo imeshindwa kuwasilisha hotuba yake. Jambo lililo pelekea bunge na taifa kukosa maoni ya upinzani kuhusiana na bajeti ya serikali.
My take;
Mbowe umeonyesha udhaifu wa hali ya juu leo, yani umeonyesha jinsi gani unavyo endeshwa na hisia na kutokana na hilo umekuwa ukitoa maamuzi ya kukurupa ambayo ndani yake hayana tija.
Kiongozi aendeshwi kwa hisia bwana Mbowe.
Mama Makinda amekiri bungeni kuwa hajapata taarifa yoyote kutoka kambi ya upinzani kama imepata dharula na haita shiriki kwenye kikao cha leo cha bunge, hivyo kambi hiyo imeshindwa kuwasilisha hotuba yake. Jambo lililo pelekea bunge na taifa kukosa maoni ya upinzani kuhusiana na bajeti ya serikali.
My take;
Mbowe umeonyesha udhaifu wa hali ya juu leo, yani umeonyesha jinsi gani unavyo endeshwa na hisia na kutokana na hilo umekuwa ukitoa maamuzi ya kukurupa ambayo ndani yake hayana tija.
Kiongozi aendeshwi kwa hisia bwana Mbowe.
unasubiri nn kufuta mkuu? Chukua ufutio fasta futa
Official matters mkuu zinafanywa kwa documents.
Wewe wa wapi?
Kwani lazima alale kwake mtu ambaye hana mume? Huyu anaweza lala kokote mradi awe na uhakika wa kumegwa. Kwa umri ule alionao wapo watu pengine waliwahi kumposa na kwa sababu mbalimbali ndoa haikufanikiwa. Naamini kwa sasa watu hao wanamshukuru MUNGU kwa kuwaepushia na balaa hilo la kuoa mwanamke mwenye roho ya kichawi kama sii mchawi kamili.Huyu mama anaishi dunia gani na jana katika vyombo vyote vya habari husani Television zilionyesha Mbowe akiwa anahojiwa na kutoa tamko kuwa Chadema hawatashiriki vikao vya bajeti bungeni leo! Natumaini huyu mama hakulala kwake na kama alilala kwake basi hana Television au hasomi magazeti!
Hivi watu wa kaskazini kuna shida gani manake mafisadi wote wanaishambulia sana kaskazini hasa Arusha to Killimanjaro. Ndio mikoa pekee ambayo viongozi wake wabunge hushambuliwa kama magaidi mabomu kibao yenye madhara mi nadhani huenda wakaanza kudai na wenyewe wawe na serikali yao na nchi yao.
Mama Makinda amekiri bungeni kuwa hajapata taarifa yoyote kutoka kambi ya upinzani kama imepata dharula na haita shiriki kwenye kikao cha leo cha bunge, hivyo kambi hiyo imeshindwa kuwasilisha hotuba yake. Jambo lililo pelekea bunge na taifa kukosa maoni ya upinzani kuhusiana na bajeti ya serikali.
My take;
Mbowe umeonyesha udhaifu wa hali ya juu leo, yani umeonyesha jinsi gani unavyo endeshwa na hisia na kutokana na hilo umekuwa ukitoa maamuzi ya kukurupa ambayo ndani yake hayana tija.
Kiongozi aendeshwi kwa hisia bwana Mbowe.
Mkuu Safari_ni_Safari, desturi za mashoga ni kuwa akimzimikia mtu huwa anaanza na kubana pua huku akimkandia na kumkashifu huyo anayemtaka ili akasirike na akitaka kumuadhibu basi anamwambie "basi yaishe yakhe! Acha nikupe mambo ntulize roho yako babu! Najua we wantaka he he"Wewe na Mbowe iko kitu....si bure...toka mawio mpaka machweo wewe ni Mbowe tu....maybe thats where you get your bread....otherwise utauwa familia
Mama Makinda amekiri bungeni kuwa hajapata taarifa yoyote kutoka kambi ya upinzani kama imepata dharula na haita shiriki kwenye kikao cha leo cha bunge, hivyo kambi hiyo imeshindwa kuwasilisha hotuba yake. Jambo lililo pelekea bunge na taifa kukosa maoni ya upinzani kuhusiana na bajeti ya serikali.
My take;
Mbowe umeonyesha udhaifu wa hali ya juu leo, yani umeonyesha jinsi gani unavyo endeshwa na hisia na kutokana na hilo umekuwa ukitoa maamuzi ya kukurupa ambayo ndani yake hayana tija.
Kiongozi aendeshwi kwa hisia bwana Mbowe.
Mama Makinda amekiri bungeni kuwa hajapata taarifa yoyote kutoka kambi ya upinzani kama imepata dharula na haita shiriki kwenye kikao cha leo cha bunge, hivyo kambi hiyo imeshindwa kuwasilisha hotuba yake. Jambo lililo pelekea bunge na taifa kukosa maoni ya upinzani kuhusiana na bajeti ya serikali.
My take;
Mbowe umeonyesha udhaifu wa hali ya juu leo, yani umeonyesha jinsi gani unavyo endeshwa na hisia na kutokana na hilo umekuwa ukitoa maamuzi ya kukurupa ambayo ndani yake hayana tija.
Kiongozi aendeshwi kwa hisia bwana Mbowe.