asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,029
Huyo mama haoni aibu kuendelea na bunge?
Kweli hawezi kuona ,kwani ni kitu walichokipanga wao.
Kweli hawezi kuona ,kwani ni kitu walichokipanga wao.
Kwani mkuu TLP, NCCR - Mageuzi, CUF na UDP hao sio wapinzani?
Maisha ya watanzania ni mhimu zaidi kuliko hata hiyo bajeti ambayo mwisho wa siku huwa haitekelezwi. Kwanza mimi nafikiri wabunge kule bungeni wanakutana kwa ajili ya kugawana allowance tu hawana la maana wanalofanya, maana hakuna kila mwaka wanakaa bungeni kupitisha bajeti lakini hali ya umaskini inazidi kuongezeka.Mama Makinda amekiri bungeni kuwa hajapata taarifa yoyote kutoka kambi ya upinzani kama imepata dharula na haita shiriki kwenye kikao cha leo cha bunge, hivyo kambi hiyo imeshindwa kuwasilisha hotuba yake. Jambo lililo pelekea bunge na taifa kukosa maoni ya upinzani kuhusiana na bajeti ya serikali.
My take;
Mbowe umeonyesha udhaifu wa hali ya juu leo, yani umeonyesha jinsi gani unavyo endeshwa na hisia na kutokana na hilo umekuwa ukitoa maamuzi ya kukurupa ambayo ndani yake hayana tija.
Kiongozi aendeshwi kwa hisia bwana Mbowe.
CHADEMA imewanyanyapaa hao wote uliowataja, yani imewatenga na hawashirikiani kwenye kambi ya upinzani bungeni.
Futeni chadema!
Sidhani kama CDM imewafunga mdomo kwenye kuchangia na kutoa hoja pale wanapotakiwa kufanya hivyo...
Kwani mkuu TLP, NCCR - Mageuzi, CUF na UDP hao sio wapinzani?
Kumbe mkuu hujui?
CHADEMA imewatenga wabunge wote wa vyama vingine vya upinzani, yani wamejipa mamlaka kuwa hapa nchini wao tu ndio wapinzani. Hivyo, mfumo uliopo bungeni wa kambi ya upinzani ni wao tu ndio wameuweka mfukoni. Watu wa ajabu sana CHADEMA.
issue ni kanuni na taratibu za bunge ndio zilivyoKumbe mkuu hujui?
CHADEMA imewatenga wabunge wote wa vyama vingine vya upinzani, yani wamejipa mamlaka kuwa hapa nchini wao tu ndio wapinzani. Hivyo, mfumo uliopo bungeni wa kambi ya upinzani ni wao tu ndio wameuweka mfukoni. Watu wa ajabu sana CHADEMA.
Mbowe ana akili nyingi kuliko wewe mtoa hoja, hivi kwa nchi ilivyo sasa unaona imekaa vizuri , ccm wanatabiri kupitia mtabiri wao Nchemba anawambia watu wasiende kwenye mikutano ya CHADEMA watu wanaenda kesho yake kweli wanapatwa na janga kubwa kama lile, Lukuvi leo anaongea utafikiri aliishia darasa la chekechea, Mwigulu yuko bungeni polisi hawajachukua hatua yoyote kumarrest asaidie juhudi za kutafuta chanzo cha maafa
Mbowe na wabunge wengine wote wa CHADEMA wapo sahihi , uroho wa madaraka wa ccm unalipeleka taifa pabaya
CHADEMA wanapaswa kuwa waalimu wa siasa za kistaarabu wanazozihubiri.
Wakumbuke tu kuwa what goes around comes around!
Mbowe ana akili nyingi kuliko wewe mtoa hoja, hivi kwa nchi ilivyo sasa unaona imekaa vizuri , ccm wanatabiri kupitia mtabiri wao Nchemba anawambia watu wasiende kwenye mikutano ya CHADEMA watu wanaenda kesho yake kweli wanapatwa na janga kubwa kama lile, Lukuvi leo anaongea utafikiri aliishia darasa la chekechea, Mwigulu yuko bungeni polisi hawajachukua hatua yoyote kumarrest asaidie juhudi za kutafuta chanzo cha maafa
Mbowe na wabunge wengine wote wa CHADEMA wapo sahihi , uroho wa madaraka wa ccm unalipeleka taifa pabaya
wewe kocho kweli. mwambieni mke wenu mliberali awasilishe maoni. bunge jeupeee vichwa vyote vipo A TOWN.