Lenana
JF-Expert Member
- Oct 10, 2010
- 421
- 79
Official matters mkuu zinafanywa kwa documents.
Wewe wa wapi?
Swala la Mtwara liliripotiwa kwa document !!!???
Official matters mkuu zinafanywa kwa documents.
Wewe wa wapi?
Kumbe mkuu hujui?
CHADEMA imewatenga wabunge wote wa vyama vingine vya upinzani, yani wamejipa mamlaka kuwa hapa nchini wao tu ndio wapinzani. Hivyo, mfumo uliopo bungeni wa kambi ya upinzani ni wao tu ndio wameuweka mfukoni. Watu wa ajabu sana CHADEMA.
Mkuu ndo narejea leo kutoka huu mtaa wa ban..! Nililambwa 5 day ban. Thank God nimerudi salamaanytime, wale makachero (mods) wakikuotea tu ni lock-up!
Mkuu ndo narejea leo kutoka huu mtaa wa ban..! Nililambwa 5 day ban. Thank God nimerudi salama
Pumbavu zao kabisa, kauli kama za a Mizengo Pinda unadhani tutafanyaje. Heri kula ban kuliko kukaa na dukuduku moyoni..!hahaaaa! pole sana mkuu, unajua kuna watu humu wanalazimisha mtu kupata ban, kwa upumbavu wao! pumbavu zao