Anne Kilango umejitia aibu

afadhali umetusaidia. Mimi natoka huko kwa muyo maza. Yaani ni shida tupu. Barabara hakuna ni hovyo kabisa ahadi zake za kujenga barabara ziko wapi jamani? Ukipita kwetu mpaka kihurio alikozaliwa ni aibu tupu. Hakuna hospitali na baya kuliko yote jamani barabara........ Hakuna
 

Kwenye red nadhani unawachanganya.
 
Hivi huyu mama Kilango ule mradi wake wa kusindika Tangawizi unaendeleaje kule jimboni kwake?
 
Kuna kipindi huyu maza alikuwa anaitwa mpiganaji humu jamvini, how comes leo ameteleza kidogo tu mnampa za uso fasta fasta??ooh my.
 
kiufupi huyu maza ni kama ****, hata kama ukilichamba haliachi kunuka. Ana sura ka sokwe aliyemwagiwa unga, ****** kweli ka kiongozi wao wa kuchekacheka( JK)
 
I don't blame her..ndio knowledge aliyonayo. It's a pity
 

Mama Makinda au Mama Kilango?
 
mhurumien basi,mbona mnatukana sana!uzee unamsumbua,pia mzee ni mgonjwa,thus anakosa ma-love davi ya mzee,hence she is frustrated
 
Leo imekuwaje tena mnamgeuka? Si JF kulikuwa na thread kibao za kumpongeza kila kukicha?

JF ni mdudu gani huyu? alitoa post wapi kumpongeza huyu mama kwa niaba yangu?

Mbona tunataka kuleta borg-likecollectivization?

Mbunge wajibu wake wa kwanza ni kutumikia wananchi. Huyu mama hawatendei haki wananchi.

Tushaona uchafu mwingi unavyopitishwa kwa kutumia flag la "usalama wa taifa".
 
mambo ya kisiri ili kuficha ukweli wa ufisadi. tunanunua silaha za kupigana na nani karne hii. tumeweka zingine zimelipuka na kutuua. ukisema tusiyaseme ili tufiche ufisadi poa. heri yenu nyie mliopata mgao wa hiyo fedha kama wewe mama kilango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…