Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
hujakosea hizo sifuri kweli mbona ni faranga nyingi hizo. au JPatel alikuwa anatega kwa kuamini Samweli angetwaa nchi hii?[/QUOTE]
Hapo kwnye bold lugha sahihi ya kuelezea alichokuwa anafanya JP ni kuwa alikuwa anawekeza akitegemea kuwa huyu J4 akiula basi atafanya ikulu kama sebuleni kwake.
huyu mama anaweweseka ..mbunge gani huna facebook twitter wala ngugu zake ..huyu mama ni mjima mambo yake yote ni ya ki-local ..pesa ya kiwanda cha tangawizi kaila barabara mbovu jimbo lake halina barabara ya lami hata moja anashinda kwa mumewe mze3e malecela keshalisahau jimbo lake huyu anaweza hata asifike 2015 kwa jinsi watu walivyomchoka tayari
hospitali zinatotegemewa ni za katoliki
Mkalibia kufa, haachi kutapatapa! Huyo ndo nipotezee let us wait. CDM inatisha hata mimi imenitisha sana especially Jmos Jagwani, nilikuwa live from Morogoro mpaka Jagwani. Wana sera jamaa zinazogusa kihisia maisha ya watu na kutishia matumbo joto aka Mafisadi aka HEPA,
Mshauri aje agombee huku MICHEWENI
Gazeti la Uhuru