mwanzoni alijifanya ni mwiba wa mafisadi akaitwa kakatiwachake sasa ni mfuasi muaminifu wa mafisadi!!
Waandishi waingie Same chap watuletee full details za hicho "kiwanda" na picha!
Wakuu,
nawahakikishieni huyu mwandishi hajafanya kazi ama ameifanya kisiasa. Jamani kiwanda kipo kata ya Mamba
nimefika huko mwezi wa Tano kilikua mwishoni kuanza kazi, majengo yamekamilika, machine zilikua zimefungwa
n.k kulikua na tatizo la drier.
hofu yangu ni namna mwandishi ameandika hii habari. ANASEMA HAKUNA KIWANDA. Nasema sio kweli
lakini umiliki wa kiwanda sijui ni nani lakini halmashauri ya wilaya ina mkono wake through DADP program, wabia
wachache niliombiwa ni hao umoja wa wakulima wa tangawizi (ethics haziniruhusu ningeweka picha).
Hofu yangu sio huyo mama kasema nn ama wananchi wamefaidikaje na kiwanda hicho bali mwandishi kusema hakipo.
Je ameenda Mamba akakikosa?
Je ameuliza kwenye halmashauri ya wilaya (DED, ama afisa biashara, Kilimo & Ushirika) walau kuandika story kamili?
Je, kinachogombewa na mtoa habari ni faida za kiwanda? ama kuwepo kwa kiwanda (structure and machine)?
Je tatizo ni kiasi cha hela zilizotumika?
Naomba kuwakilisha - Kiwanda kipo (kina thamani gani sijui, kinamilikia na nani sijui, kimewafaidishaje wana same sijui) hata mlemavu wa macha anaweza kukiona.
OSOKONI
Kama wewe ndio mwandishi wa habari hii be very carefully. kiwanda kipo mimi
mwenyewe nimekiona naweza hata kukupa baadhi ya parameter zake.
Mimi nilienda kwa lengo la kufanya utafiti wangu kwenye mboga mboga na nimekiona
na walikua kwenye final stage ya kulaunch.
Kama ni mwandishi wa habari basi anzia wilayani ama ofisi za kilimo (ndio wasimamizi wa mradi)
vinginevyo naona kama hii habari unataka kuianika kwenye gazeti kabla hujafanya hivyo jiridhishe.
suala la kuwanufaisha wapare/wakulima ni kitu tofauti mimi siwezi lisemea ninachoweza kusema kiwanda
kipo. processing capacity yake ni 4000 metric tones, Same ginger production yake ni around 12,000 metric tones
mwanzoni alijifanya ni
mwiba wa mafisadi akaitwa kakatiwachake sasa ni mfuasi muaminifu wa
mafisadi!!
Akifika jimboni akimwaga pilau, kanga kofia t-shirt na bukubuku watu wanasahau habari ya kiwanda wanampa tena kura life goes!!Mkuu huyu mama hata mie kuna kipindi alinigusa kwa jinsi alivyokuwa akibwabwaja na kuonekana ni kweli mtetezi wa wanyonge. Lakini kama hili lina ukweli, basi serikali ya magamba inazidi kujidhihirisha ilvyokaa madarakani kwa kulaghai wananchi. inatia huzuni sana, lakini inatia hasira kwa huyu mama. sasa akirudi jimboni anawatazama vipi wananchi, au ndo zile walizozoea kuwafanya watanzania hamnazo???
Hivi hapa mnabishania nini? kama kiwanda kipo si mpige picha na ushahidi uwekwe hadharani? Ingawa mimi siyo Mpare nimewahi kusoma kwenye gazeti moja siku nyingi kidogo kuhusu kiwanda hicho. Mwandishi aliyeandika habari hizo alifika huko na picha aliweka. Sasa wewe unayesema hakipo una maana gani? Tuonyeshe basi hayo majengo yanayooza.