MUNISHIInjili na siasa za kibongo ni mafuta na maji havichangamani.
Siasa za kibongo ni sawa na kutongoza dem ukimpa ukweli hakukubalii ila ukimuongopea ndio anaingia kingi mzimamzima.
MUNISHIInjili na siasa za kibongo ni mafuta na maji havichangamani.
Siasa za kibongo ni sawa na kutongoza dem ukimpa ukweli hakukubalii ila ukimuongopea ndio anaingia kingi mzimamzima.
Ndio, ninalo: Alikuwa na shughuli gani, what was she doing in terms of political activities?Alitoka Singida Tanzania, una swali lingine?
alipunguza kura za Ukawa.
swissme
kiboooooooAnna Mghwira kuhubiri injili siasa basi tena
HATIMAYE aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya ACT wazalendo Anna Mgwira mapema leo hii ameweka wazi hatma yake kisisa ambao amesema kuwa anageukia injili huku akiwa bado mwanasiasa.
Mgwira kupitia ukurasa wake wa Twitter ameandika kuwa amekubali ushauri alioshauriwa wa kuachana na Siasa na kugeukia injili, ila haweza kuiacha saisa moja kwa moja.
annamghwiraofficial @annamughwira
Nimeombwa niache siasa nikahubiri injili. Nakubali kazi ya injili ni wajibu mwema. Kazi ya injili ndani ya siasa ni wito maalum.
annamghwiraofficial @annamughwira
Kufuatia ombi la kuacha siasa kuhubiri injili ninafikiri nifanye Injili ndani ya siasa kwa sasa. Ninaamini mnanielewa. Asanteni
Inasemekana Msigwa alichukua KITU cha maana kutoka kwa FISADI MKUU ili afunge mdomo!Salamu zangu za kwanza zimfikie Gwajima.
Salamu zangu za pili zimfikie mama rwakatale.
Salamu zangu za tatu na za mwisho zimfikie mchungaji peter Msigwa.
Halafu ni Mrembo sanaHuyo mama yuko vizuri kila idara sababu sio mnafiki, Mungu ambariki huko aendako.
I can see point less from mile awayHuyu nae, type ya mama Rwakatare tu...!! Ukiona mtu yeyote anachanganya SIASA na INJILI, kwisha habari yake huyo..!! She is going mad, wait & see...!!
Nafasi yake ilikuwa ikichukuliwa na ndugu wa MbungeAlikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Mkoa Singida lakin pamoja na uwezo wake Mkubwa wa kujieleza na kujenga hoja hakuwahi kufikiriwa hata kupewa udiwani wa kuteuliwa.
Alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Mkoa Singida lakin pamoja na uwezo wake Mkubwa wa kujieleza na kujenga hoja hakuwahi kufikiriwa hata kupewa udiwani wa kuteuliwa.
Jay man dont wish people bad things...they can come back at you!Huyu nae, type ya mama Rwakatare tu...!! Ukiona mtu yeyote anachanganya SIASA na INJILI, kwisha habari yake huyo..!! She is going mad, wait & see...!!
ok tulizani umeamua kuwa nabii dokta na mtume anna mgwira mama!Sikujua kuwa sikueleweka kiasi hiki. Niliandika kuombwa si kutaka...niemombwa na msomaji mmoja niache siasa nikahubiri injili nikamjibu nitafanya injili katika siasa. Yaani ninataka kuchangia kuboreha siasa zetu ziwe rafiki kwa maendeleo yetu. Siasa si uhasama ni ushirikishaji wa hoja ili kupata hoja bora baada ya mjadala.