Anna Mghwira Kuhubiri Injili ndani ya siasa

Mama, mimi nimekukubali hasa kwa busara zako za hali ya juu ulizoonesha kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Ubarikiwe sana mama yetu.
 
Kwa upendo namshauri mama Ana Mghwira achague moja - kumtumikia Mungu au siasa. Huwezi kuwatumikia mabwana wawili. Pamoja na ushauri aliopewa, ni bora autafute uso wa Mungu ili ayajue mapenzi ya Mungu katika maisha yake.
 
Ahsante kwa kuja.
Angalau wewe nilikuelewa kipindi cha kampeni,kuliko yule rafiki ya boda boda na mama ntilie.
 
Hahahaha amenikumbusha Lowasa alituahidi kwenda kuchunga ng'ombe hadi sasa bado anasababisha foleni mjini!
 
Anna Mghwira Kuhubiri Injili Siasa Basi tena


HATIMAYE Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Anna Mgwira mapema leo hii ameweka wazi hatma yake kisisa ambao amesema kuwa anageukia Injili huku akiwa bado mwanasiasa.

Mgwira kuitia ukurasa wake wa Twitter ameandika kuwa amekubali ushauri alioshauriwa wa kuachana na Siasa na kugeukia Injili,ila haweza kuiacha saisa moja kwa moja

annamghwiraofficial @annamughwira
Nimeombwa niache siasa nikahubiri injili. Nakubali kazi ya injili ni wajibu mwema. Kazi ya injili ndani ya siasa ni wito maalum.

annamghwiraofficial @annamughwira
Kufuatia ombi la kuacha siasa kuhubiri injili ninafikiri nifanye Injili ndani ya siasa kwa sasa. Ninaamini mnanielewa. Asanteni

Chanzo muungwana blog
1a4f1309bd1d333c875e968467fc6d15.jpg
Kama ulikuwa hujui mama Anna ni Mchungaji wa siku nyingi wa KKKT sema alisimamishwa huduma alipo divorce. Ameishi sana Sweden hata watoto wake kina Hisia yule mshiriki wa Tasker Project Fame kakulia huko Sweden.

Siyo jambo geni yeye kupanda madhabahu
 
Alikuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema Mkoa Singida lakin pamoja na uwezo wake Mkubwa wa kujieleza na kujenga hoja hakuwahi kufikiriwa hata kupewa udiwani wa kuteuliwa.
Acha uchochezi usiokuwa na tija. Usiwe mwepesi kukurupuka. Fanya walau kauchunguzi kadogo ndo uongee.
 
Kama ulikuwa hujui mama Anna ni Mchungaji wa siku nyingi wa KKKT sema alisimamishwa huduma alipo divorce. Ameishi sana Sweden hata watoto wake kina Hisia yule mshiriki wa Tasker Project Fame kakulia huko Sweden.

Siyo jambo geni yeye kupanda madhabahu
Hivi kumbe Hisia ni kijana wake. Hv huyu mama ndo alikuwa anafundisha Makumira University na ni mwanasheria? Nakumbuka kuwahi kumuuona miaka ya 2004 plae Makumira ila sina kumbukumbu vzr kama ni yeye tafadhali nifahamishe mkuu.
 
Hivi kumbe Hisia ni kijana wake. Hv huyu mama ndo alikuwa anafundisha Makumira University na ni mwanasheria? Nakumbuka kuwahi kumuuona miaka ya 2004 plae Makumira ila sina kumbukumbu vzr kama ni yeye tafadhali nifahamishe mkuu.
Ndiyo mzee
 
Back
Top Bottom