Mama Anna Mgwira akana uvumi unaoenea kuwa kaachana na Siasa...

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
image.jpeg

UFAFANUZI: INJILI NDANI YA SIASA.

Hoja na ombi la mmoja wa wasomaji wa ukurasa wangu kuwa niache siasa niwaunge kuhubiri injili imetafsiriwa kuwa ni mimi ndio nataka kuacha siasa na kuingia kuhubiri.

Jibu langu kuwa kazi ya injili ni kazi njema lakini kwa sasa nitafanya injili ndani ya siasa lina maana ya kujikita zaidi katika siasa, si kuacha.

Ninaamini kuwa siasa za tanzania zinahitaji vionjo vingi kuleta ubora.

Ninafikiri wito wa kiinjili yaani habari njema ya kufungua maisha ya watu kupitia sera bora za maendeleo, kuwasemea wasio na sauti , kushauri, kuelekeza, kufundisha nk ndio maana yake na ndio maana ya kusema huu ni utume maalum, si wa kupuuza na si wa kuacha kirahisi.

Ninaamini ninaeleweka sasa.
 
huyu mama bwana bora akae atulie zake tu asitake tuanze kufukunyua ya uvunguni. Ndoa yake tu ilimshinda ; yaani kuishi na mtu mmoja; sasa kweli ataweza kutuongoza watu milioni 45 kama alishindwa kuishi na mmoja?
 
Ila mama anna kwa kweli amestaarabika sana,!! Bila ya huyu mama act ingeonekana ya ovyo sana, kifp mama anakibeba chama kwa sasa kuliko hata zitto
 
Mama anna usitutose wanaACT wewe na ZITTO ni tunnu ya taifa hili wala msibabaike na maneno ya wapinzani uchwara.
 
huyu mama bwana bora akae atulie zake tu asitake tuanze kufukunyua ya uvunguni. Ndoa yake tu ilimshinda ; yaani kuishi na mtu mmoja; sasa kweli ataweza kutuongoza watu milioni 45 kama alishindwa kuishi na mmoja?
wewe ni mjinga sana tena huna elimu yoyote maisha binafsi ya mtu yanakuhusuje??punda mbeba mizigo wewe
 
huyu mama bwana bora akae atulie zake tu asitake tuanze kufukunyua ya uvunguni. Ndoa yake tu ilimshinda ; yaani kuishi na mtu mmoja; sasa kweli ataweza kutuongoza watu milioni 45 kama alishindwa kuishi na mmoja?
Ww mbona unabadili wachumba uchao
 
wewe ni mjinga sana tena huna elimu yoyote maisha binafsi ya mtu yanakuhusuje??punda mbeba mizigo wewe
sawa mama...urais sio kwa kila mtu anayeutaka.kuna watu wanataka kuifanya taasisi ya urai kua rahisi kama kazi ya ukonda unayofanya wewe.
 
huyu mama bwana bora akae atulie zake tu asitake tuanze kufukunyua ya uvunguni. Ndoa yake tu ilimshinda ; yaani kuishi na mtu mmoja; sasa kweli ataweza kutuongoza watu milioni 45 kama alishindwa kuishi na mmoja?
Uwe na adabu stroke huyu ni mama yako unajuwa
 
huyu mama bwana bora akae atulie zake tu asitake tuanze kufukunyua ya uvunguni. Ndoa yake tu ilimshinda ; yaani kuishi na mtu mmoja; sasa kweli ataweza kutuongoza watu milioni 45 kama alishindwa kuishi na mmoja?
Mwanae ni Msanii wa Tusker Project Game _Isia.
 
huyu mama bwana bora akae atulie zake tu asitake tuanze kufukunyua ya uvunguni. Ndoa yake tu ilimshinda ; yaani kuishi na mtu mmoja; sasa kweli ataweza kutuongoza watu milioni 45 kama alishindwa kuishi na mmoja?
Kushindwa ndoa sio kushindwa maisha,isitoshe hawezi kung'ang'ania ndoa yenye mateso wakati kuna maisha tu bila hata ya ndoa
 
huyu mama bwana bora akae atulie zake tu asitake tuanze kufukunyua ya uvunguni. Ndoa yake tu ilimshinda ; yaani kuishi na mtu mmoja; sasa kweli ataweza kutuongoza watu milioni 45 kama alishindwa kuishi na mmoja?
Wewe ndoa yako umeiweza, unamtimizia mmeo?
 
sawa mama...urais sio kwa kila mtu anayeutaka.kuna watu wanataka kuifanya taasisi ya urai kua rahisi kama kazi ya ukonda unayofanya wewe.
I usually never argue with idiots of your type
 
Back
Top Bottom