Zaidi ya wiki moja iliyopita alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Nkoaranga kwa tatizo la kupumua ambapo baadaye hali yake kuwa mbaya alihamishiwa hospitali ya Mount MeruJaman mbona mapema mno alikuwa na shida gan. R.I.P
Zaidi ya wiki moja iliyopita alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Nkoaranga kwa tatizo la kupumua ambapo baadaye hali yake kuwa mbaya alihamishiwa hospitali ya Mount MeruJaman mbona mapema mno alikuwa na shida gan. R.I.P
Mama aliisaidia sana jamii kwa ike kauli yake.May all beings attain enlightenment.
Nitamkumbuka kwa kutoa darasa mapenzi ya wanaume yanagawanyika kwa mafungu.
Kwamba atampendea uyu jicho, atapenda mwingine mguu, mwingine shape,May all beings attain enlightenment.
Nitamkumbuka kwa kutoa darasa mapenzi ya wanaume yanagawanyika kwa mafungu.
Wanaume tumefiwa.Kwamba atampendea uyu jicho, atapenda mwingine mguu, mwingine shape,
Masikini, nakumbuka phase one alipata maambukizi na akasema wazi. RIP mamaKuna rafiki yangu ametoka kuzika ndugu yake Machame, ananiambia KCMC hali ni mbaya sana, na Mount Meru Arusha ndio mbaya zaidi. Sasa sijui kama mama kachukuliwa na mdudu lakini hii Covid version Delta ni noma, tuchukue tahadhari
Umeongea vema sana mkuu!Kifo cha mwenye haki kinahuzunisha sana. Huyu mama amewapa funzo wanasiasa wa hii nchi. R.I.P Anna Mgwira
Confirmed, 2 days in oxygen support Mt. Meru hosp. Leo amefariki... C19 is real,Sad news. Mama Anna Nghwira-EX RC KLM amefariki katika Hospitali ya Mount Meru leo majira ya saa 5asb alilazwa hapo akitibiwa kwa takribani wiki moja.
Real Sad!