Anguko sasa ni dhahiri

Hakika umenena
 
wewe na wew Mtoto akiongea ujinga na baba naye aige sio? nani mkubwa hapo nani anayepaswa kumfunza mwenzake ni baba ama ni Mtoto? nani wakukemea ubaguzi wa kikabila kinchi, kivyama ni baba ama ni Mtoto? Nani anayepaswa kuunganisha watu wake wawe wamoja katika familia yenye kuwa na upendo ni baba ama ni Mtoto? Shame on you.
 
Yaan nimeshutuka sn.Nikafikiri kuna anguko la chama au anguko la kiongozi,kumbe ni fikira zako na ndoto ndo unaleta hapa.Pole sn ndoto si mahala pake hapa.
Kweli hii nchi ina safari ndefu
 
Wanahubiri amani huku wameficha mapanga,
 
Kiukweli huyu mheshimiwa ni mchapakazi ila anakosa HEKIMA ya kiuongozi, anaropoka MNO. Ni mkatoliki huyu tena mhudhuriaji mzuri sana wa ibada, sasa sijui anatumia maandiko yapi huko kanisani yanayofundisha VISASI na KUTOKUSAMEHE! Suleiman hakuwa mpumbavu kumuomba Mungu HEKIMA kabla ya kitu chochote mara tu baada ya kupata ufalme. Ni huyu huyu anayesema eti "Tumuombee" kila siku. Kama anaamini Mungu aanze basi kwanza kuyaishi yale yaliyo katika vitabu anavyoamini kabla hajaombewa.
 
Pasco tuonjeshe kidogo, ili tuishi kwa matumaini Kuwa mtumishi wa bwana alitabiri, ili sisi tulio wa bwana tuendelee kuomba unabii upate kutimia haraka
 
Maneno kuntu, tupe rejeo
 
Hapa unaandika sio unasema.
Eti busara ya maneno ninayosema.
Tofautisha kati ya kuandika na kusema.
Wewe ni zao la BRN.
 
Kwa taarifa yako Rais Magufuli atamaliza kwa mafanikio makubwa sana kuliko unavyofikri wewe.
Mlizoea dhaifu, sasa ni action man on game pamoja na kauli tata.
 
Kwa taarifa yako Rais Magufuli atamaliza kwa mafanikio makubwa sana kuliko unavyofikri wewe.
Mlizoea dhaifu, sasa ni action man on game pamoja na kauli tata.
Hivi tunajadili hoja au mtu? Kwanini udhani ni yeye na si mwingine yeyote? punguza kasi kisha tafakari...!
 
Sagacious
 
Hilo ndilo taifa la visasi,hata kama mtu ameua familia yako yakupasa umtendee ayapendayo yeye!!je ni kweli aliyofanyiwa mwenye haki yampasa tena kumnyenyekea mwenye zambi?mwizi yule?kweni katiba inasema nn juu ya haki? Kweni dinari zile ni zake au za wananchi?na hakika kwa visasi hivi ameshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…