Anguko sasa ni dhahiri

Anguko sasa ni dhahiri

Kuna maneno ya siri yule TB Joshua alimwambia jamaa 'yangu' fulani kuhusu utabiri fulani ambao sio busara kuusema kwa sababu sometimes kauli huumba! .

Naweka kumbukumbu ya bandiko hili, siku ya siku nitakukumbusha na kukueleza TB Joshua alitabiri nini! .

Pasco
Tb Joshua alikuja Tanzania akashuka kwenyr ndege yenye thamani ya mabilioni akiwa peku.....kibiblia hii ni ishara mbaya kwa taifa,taifa litakumbwa na mambo fokiria rais unampokea mgeni kashuka kwenye ndege ya kisasa anakanyaga chini wakati unajua nyumbani kwake ana viatu pea kwa pea,na anatoa misaaada ya mamilioni kila Mwaka,
On top of that,anayetembea peku ni mtumishi wa mungu maarufu!!
Tazama....Mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu!!
 
Makamanda ushauri wa bureau: Kwa vile ukuta unakuja hapo 01/10/2016 kulingana na amri ya Dj, muda huu na nguvu zenu mngezitumia kujiandaa ipasavyo.
Usifanye juhudi za kijinga za kuwatoa watu kwenye mada husika...kama unaona kuna hilo hitaji unaweza tu kulianzishia mada
 
mkulu akiendelea hivi kwa miaka mitatu, atasaidia kuinua upinzani wa hali ya juu toka ndani na nje ya chama chake hii ni mbaya kwa afya ya nchi.
tutegemee tamko kali toka cuf leo, matamko hayo yakiwa yanajirudia mara kwa mara na vyama pinzani, utasababisha ukuta wa kweli kujengwa siku za mbeleni.
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake..huyu ni mwovu
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe....dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha..karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano
Je tunatengeneza ama tunabomoa?
Je tunahubiri amani ama visasi?
Je tunaeneza ustawi au anguko?
Je Tunafundisha hekima au upuuzi?
-hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Mkuu usemacho kwa maridhiano ni muhimu kina mantiki,lakini amani usiamini kuna watu bila mchakamchaka na push up huwa ni ngumu sana kukaa kwanye mstari,ndio mana kuna msemo usemao dawa ya moto ni moto.LET THE EVENTS TAKE THEIR COURSE.
 
Mkuu usemacho kwa maridhiano ni muhimu kina mantiki,lakini amani usiamini kuna watu bila mchakamchaka na push up huwa ni ngumu sana kukaa kwanye mstari,ndio mana kuna msemo usemao dawa ya moto ni moto.LET THE EVENTS TAKE THEIR COURSE.
Let the events take their course(cause? )but have ever thought about the outcomes?
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake..huyu ni mwovu
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe....dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha..karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano
Je tunatengeneza ama tunabomoa?
Je tunahubiri amani ama visasi?
Je tunaeneza ustawi au anguko?
Je Tunafundisha hekima au upuuzi?
-hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Si umtaje tu mkuu.
Ila achaa tu kwakuwa wenye Akili tumelewa unachomaanisha.
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake..huyu ni mwovu
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe....dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha..karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano
Je tunatengeneza ama tunabomoa?
Je tunahubiri amani ama visasi?
Je tunaeneza ustawi au anguko?
Je Tunafundisha hekima au upuuzi?
-hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Amenand amen Mshana.
 
Let the events take their course(cause? )but have ever thought about the outcomes?
Did that old man think about the outcome when he refused to shake hands with his president?
 
Nawaza tu kimya kimya hivi unaweza ukaenda kununua cd usikilize hotuba za magufuli utegemee utaambulia jambo la kujenga na kukutia faraja ktk mzunguko wa maisha haya la hasha kama umegombana na mtu mtumie cd za hotuba za magufuli ili ugomvi uimarike vizuri
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake..huyu ni mwovu
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe....dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha..karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano
Je tunatengeneza ama tunabomoa?
Je tunahubiri amani ama visasi?
Je tunaeneza ustawi au anguko?
Je Tunafundisha hekima au upuuzi?
-hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Kwa hiyo?
 
Back
Top Bottom