Anguko sasa ni dhahiri

Anguko sasa ni dhahiri

Ngoma ikivuma sana hupasuka.
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...
Kuna maneno ya siri yule TB Joshua alimwambia jamaa 'yangu' fulani kuhusu utabiri fulani ambao sio busara kuusema kwa sababu sometimes kauli huumba! .

Naweka kumbukumbu ya bandiko hili, siku ya siku nitakukumbusha na kukueleza TB Joshua alitabiri nini! .

Pasco
 
Hata South Africa baada ya uhuru walitengeneza Tume ya usuluhishi na upatanishi lengo ikiwa ni kufuta uhasama na kuleta umoja……hapa kwetu baada ya uchaguzi……???
poleni sana,naona jamaa yenu anawanyorosha
 
Mwaka wa kuweweseka mpk miaka mitano ntakua mmenyooka

Mwenyekiti CCM JF
 
Kuna maneno ya siri yule TB Joshua alimwambia jamaa 'yangu' fulani kuhusu utabiri fulani ambao sio busara kuusema kwa sababu sometimes kauli huumba! .

Naweka kumbukumbu ya bandiko hili, siku ya siku nitakukumbusha na kukueleza TB Joshua alitabiri nini! .

Pasco
Kama ilikuwa siri Pasco uliyajuaje? Nitumie kwenye Pm basi maana andiko hili kwenye mabano linanipa shida kidogo (
Ngoma ikivuma sana hupasuka. Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...)
 
Mwaka wa kuweweseka mpk miaka mitano ntakua mmenyooka

Mwenyekiti CCM JF
Kuna kuandika bila kujua umeandika nini na hata ukiulizwa maudhui ya kile ulichoandika utabaki tu kubung'aa
 
Kuna maneno ya siri yule TB Joshua alimwambia jamaa 'yangu' fulani kuhusu utabiri fulani ambao sio busara kuusema kwa sababu sometimes kauli huumba! .

Naweka kumbukumbu ya bandiko hili, siku ya siku nitakukumbusha na kukueleza TB Joshua alitabiri nini! .

Pasco
Mkuu toa hint kidogo, tafadhali
 
Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake..huyu ni mwovu
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe....dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha..karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa...mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano
Je tunatengeneza ama tunabomoa?
Je tunahubiri amani ama visasi?
Je tunaeneza ustawi au anguko?
Je Tunafundisha hekima au upuuzi?
-hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi

Mtasubiri sana. Kama ile hadithi ya fisi na mkono wa binadamu
 
Mtasubiri sana. Kama ile hadithi ya fisi na mkono wa binadamu
1472967418983.jpg
 
Mliyataka wenyewe unamfanyia dharau mtu bila hekima tena makusudi unataka atumie hekima kukushughulikia. Never ever
 
Hizi ni tabia za mtoto anayedeka, ukimdekeza kesho atadeka tena, mdekaji mwambie ukweli, "hakuna chakula kingine sababu mwaka huu ni wa njaa" kesho ataridhika na anachokipata. Baada ya uchaguzi madege yaliruka kenda visiwani kutafuta maridhiano matokeo tuliyaona. mtu akadanganywa jitoe, akakimbilia bara kuitisha press conference "sitaki najitoa kwenye suruhu" tukamshangilia. Tukadanganywa ICC inakuja, masharti yakawa Serikali ya mpito bila hivyo hakulaliki, tuwe wakweli. Pitia humu sifa alizopata mtu aliyekataa kumpa mkono mwenzie msibani, huku ni kudeka, na kudeka kuna mwisho. Tuna njaa ya maendeleo uchaguzi mwingine ni 2020
 
Back
Top Bottom