Mama_Aheshimiwe
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 2,746
- 4,170
Wakati mwingine unaweza kuwa unapambana na Jesca,hapo utegemee niniUngekuwa hujakielewa ungeniuliza in the first place hukufanya hivyo....!mimi sijakuelewa ndio maana nikakuomba ufafanuzi...hivi vingine ulivyoandika havikusaidii hata wewe mwenyewe
Watawala wengi wasiopenda kushauriwa na wananchi na viongozi wengine waandamizi katika serikali zao wameshindwa kuongoza mataifa yao ...
Uongo utakupa ushindi wa siku moja Ukweli utakupa ushindi moja kwa moja.
Nchi inaendelea kudidimizwa kwa ndoto za kiranja, anaota kuleta viwanda wakati umeme hana. Anashindwa kuwa na maono ni nini kipaumbele kwenye zoezi hilo, hajiulizi kwa nini umeme wa nyumbani na barabarani si wa uhakika, itakuwaje apate umeme wa viwanda??
Nakubaliana nawe tafsiri sahihi ya unyenyekevu kiingereza ni "humbleness". Unyenyekevu, ni msingi mkuu wa raia - alama ya upole au tabia ya adabu, mtazamo, au roho; kutokufanya kiburi bali heshima na utiifu kwa mamlaka.
Nguzo kuu ya Unyenyekevu (humbleness) ni uaminifu (honest) na ukweli (truth).
Kiongozi imara ni budi awajenge anaowaongoza kuwa na tabia ya unyenyekevu (kusema ukweli, uaminifu, utiifu na heshima) si kwa mahubiri bali kwa vitendo.
Baada ya fafanuzi hizo, unaweza kurejea mada yako, ni nani anastahili lawama.
in jpm voiceKuna siku ntatoa agizo jua lisimame Mwaka mzima ili mfanye Kazi,naona watu mnapenda kulala sana na taarifa ninazo
Kuna mtu alishawahi kukushikia akili yako, husiandike hayo uliyokua unayaona wewe?Mimi huwaga mawashangaa sana. Mbona wapinzani wakitoa hotuba mbaya, kali na zenyekuhatarisha amani huwa hamji kukemea ?hivi mmeshasikiliza hotuba za Seif na baadhi ya wapinzani wengine. Huwaga tu wanachi wanapuuzia kwa sababu wanajua mana ya amani. Lakini ingekuwa nchi nyingine kwa hotuba nyingi za wapinzani huwa ni hatari kwa usalama wa nchi. Lakini nobody comes na kukemea kwa matamko. Sielewi siasa zetu zikoje
Ndio.Na uwezo huo wa kuamua hivyo unao wewe?
Tunatonesha vidonda kwa kuvitia chumvi na ndimu..tunahubiri chuki na visasi
Aisee mkuu, nashukuru kama ulifatilia taarifa husika, yani wakati wamekaa bungeni wanapitisha maamuzi yao sijui ni jotoridi gani lilikuwa limewakumba. Kafumu jana kapigwa butwaa kuikuta bandari ipo wazi vile. Alafu wanaambiwa bado wanaleta siasa na ubabe tu, ngoja tuendelee kuhesabu tu, muda utaamua.Sasa hivi kweli inafichwa. Jana murugenzi bandari kasema ukweli kwenye kamati ya bunge. Japo anaweza kufukuzwa kwenye nafasi yake kwa kusema ukweli lakini hali nu mbaya. Bado matamko yenye kuhamasisha chuki na ubabe kwenye sheria yanapigiwa makofi na vigelegele.
Mungu akuepushe na vitu vyenye ncha kali , amina .Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara.
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake, huyu ni mwovu.
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe.Dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha.Karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko.
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa. Mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano.
Je, tunatengeneza ama tunabomoa?
Je, tunahubiri amani ama visasi?
Je, tunaeneza ustawi au anguko?
Je, Tunafundisha hekima au upuuzi?
- Hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Dua la kuku. Mnatapa tapa kutafuta makosa ya Mh. rais Dkt JPM. Tunawashauri vunjeni kambi zenu muje tushirikiane kujenga nchi. Majungu na vijembe havisaidii, maana kila mtanzania anakubali kile kinachofanywa na JPM na serikali yake.Ngoma ikivuma sana hupasuka na mwenye kiburi akishupaza sana shingo huvunjika mara.
Tuwe na tuo tuwe na tafakuri kwenye maneno yetu...mtu anayejisifia rohombaya wazi wazi sio kwamba hana tu hekima lakini pia hana saburi na hatafakari matokeo ya kauli zake, huyu ni mwovu.
Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri, bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu, huchochea ghadhabu huchochea visasi chuki na ubabe.Dhima ya kiongozi ni kuleta umoja na maridhiano sio kuchochea chuki na visasi
Kiongozi mwenye hekima kamwe hawezi kuongea karaha.Karaha huleta simanzi na majonzi, mtu wa karaha hana ogofyo lolote, ni kiburi na kiburi chake ni anguko.
Nuru ya mtu mbaya huzimika ghafla bila tahadhari bila taarifa. Mtu wa hekima hutengeneza patano kwa njia ya mashauriano.
Je, tunatengeneza ama tunabomoa?
Je, tunahubiri amani ama visasi?
Je, tunaeneza ustawi au anguko?
Je, Tunafundisha hekima au upuuzi?
- Hakuna kitu kibaya kama kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi
Na kumuepusha na msitu wa mabwepande piaMungu akuepushe na vitu vyenye ncha kali , amina .
Dua la kuku. Mnatapa tapa kutafuta makosa ya Mh. rais Dkt JPM. Tunawashauri vunjeni kambi zenu muje tushirikiane kujenga nchi. Majungu na vijembe havisaidii, maana kila mtanzania anakubali kile kinachofanywa na JPM na serikali yake.