Anguko la uchumi Tanzania: Kampuni binafsi zapunguza wafanyakazi kutokana na hasara

Bro hata wakisema ni sawa lakini ukweli lazima tuseme, Mimi mambo ya siasa sijui sana, ila ebu Fikiri hao 20, niliopunguza watakuwa na hali gani sasa. Na kumbuka siyo Mimi peke yangu, bar karibu zote zimeshapunguza wengi na hawaajiri wapya.
Ni kweli ila si unajua magufuli kauli zake.kwa wanaolalamika kuwa pesa hawana?tuvumilie tu.mpaka siku na yeye atakapokoda mshahara.ndo atashtukaa.
 
View attachment 438190

Hali inaonyesha kwamba baadhi ya kampuni sasa zimelemewa na hali ngumu ya uchumi na sasa zimeamua kupunguza wafanyakazi ili kudhibiti hasara kubwa wanayopata.

Kampuni hizo zimekuwa zikiandika barua kwa unyonge mkubwa kwa watumishi wake,na kuwaeleza kwamba hazina jinsi nyingine,bali tu kuwarudisha nyumbani japo zinawahitaji.

NB: Watarudi kuishi vipi na familia zao? watalipaje kodi za nyumba na bili mbalimbali? je nchi sasa ni rasmi iko kwenye recession na hakuna austerity measures(njia za kudhibiti uchumi usizidi kuporoma)

View attachment 438188
kwetu decemba tunapunguzwa long live magufuli
 
Na kupunguza wafanyakazi kwenye makampuni.ni agizo la magufuli?
Kuna katazo la mashirika ya umma yasitumie kampuni binafsi kwenye mambo ya ushauri wa kitaalamu "consultants"......kwa mwendo huu mampuni za ushauri wa utaalamu na wakandarasi binafsi wanakosa kazi serikalini na mashirika ya umma hivyo lazima kupunguza ukubwa wa kampuni.
 
Tufike mahali tumshukuru Mungu kwa haya tunayoyapitia kama Taifa,kama tulishindwa kutumia fursa tuliyokuwa nayo,tukakubali kununuliwa kwa kofia,kanga,chumvi na viberiti,acha tulipie matokeo ya udharimu wetu.

Kuna wapumbavu flani walifikiri kadi zao za chama zitageuka kuwa "credit card", walikuwa wanatupigia kelele za " acha waisome namba",sasa wamejikuta wamepigika huku wengi wao wakishia kupata mlo mmoja kwa siku mlo waulao mpakani mwa mchana na usiku.

Tunashangaa makampuni kupunguza wafanyakazi,bado hizo ni rasharasha tu,mvua yenyewe itaanza pale "Sizonje" atakapoanza kupunguza idadi ya watanzania ili kubana matumizi.
 
mambo magumu,nahisi hata hao wanaopunguza watumishi wanahamia nchi jirani
 
  • Thanks
Reactions: 999
Kuna katazo la mashirika ya umma yasitumie kampuni binafsi kwenye mambo ya ushauri wa kitaalamu "consultants"......kwa mwendo huu mampuni za ushauri wa utaalamu na wakandarasi binafsi wanakosa kazi serikalini na mashirika ya umma hivyo lazima kupunguza ukubwa wa kampuni.
sasa hivi TBA wanajenga kila.kitu bila ushindani kwenye tenda na sekta binafsi.
 
Nilikuwa na jumla ya wahudumu 42 ktk bar zangu ambazo ziko maeneo tofauti, mwezi wa 8 nilipunguza 20, na kwa jinsi hali inavyokwenda mwishoni mwa huu mwezi nitawapunguza 10 ili wabaki 12 tu, na hao 12 tumekubaliana mishahara Yao pia itapungua, sababu kuna amri ya mkuu wa mkoa ya kufungua saa 10 jioni na kufunga mwisho saa 6 usiku,

Kabla ya awamu hii ya Makonda mauzo yalikuwa ni wastani wa milioni 9 kwa Siku, sikuwa na matatizo na TRA, sasa hivi mauzo ni Kati ya laki 7 mpaka laki 9, sasa naona TRA ni kama hawaniamini. Nawaonea huruma hawa wahudumu, hata zile tip za soda hakuna! Nasubiri tu msimu huu wa sikukuu upite, nihamie Kenya, siwezi kuendelea kukisuburi kifo huku nakiona,
acha uongo huna hata grocery
 
Duh! Bro kuna mambo mengine siyo lazima upinge, hizo ni biashara zangu long time, zina umri wako sasa hivi, lakini nakushauri tu, siyo lazima uchangie kila mada inayoletwa humu, be a gentleman!
kweli kabisa mkuu
 
Tufike mahali tumshukuru Mungu kwa haya tunayoyapitia kama Taifa,kama tulishindwa kutumia fursa tuliyokuwa nayo,tukakubali kununuliwa kwa kofia,kanga,chumvi na viberiti,acha tulipie matokeo ya udharimu wetu.

Kuna wapumbavu flani walifikiri kadi zao za chama zitageuka kuwa "credit card", walikuwa wanatupigia kelele za " acha waisome namba",sasa wamejikuta wamepigika huku wengi wao wakishia kupata mlo mmoja kwa siku mlo waulao mpakani mwa mchana na usiku.

Tunashangaa makampuni kupunguza wafanyakazi,bado hizo ni rasharasha tu,mvua yenyewe itaanza pale "Sizonje" atakapoanza kupunguza idadi ya watanzania ili kubana matumizi.
 
Serikali inabidi ipunguze wafanyakazi kuongeza ufanisi. Wengi wamejazana tu Hakuna kitu wanafanya maofisini



Chief RC Makonda kati ya wasaidizi wake 120 anataka wapunguzwe wabaki 4 tu! Hatareeee!
 
Hali hii iendelee tukishaimba wimbo mmoja tutapata akili. Hili chaka tuliloingia kwa huyu jamaa halielezeki aisee.
 
Tufike mahali tumshukuru Mungu kwa haya tunayoyapitia kama Taifa,kama tulishindwa kutumia fursa tuliyokuwa nayo,tukakubali kununuliwa kwa kofia,kanga,chumvi na viberiti,acha tulipie matokeo ya udharimu wetu.

Kuna wapumbavu flani walifikiri kadi zao za chama zitageuka kuwa "credit card", walikuwa wanatupigia kelele za " acha waisome namba",sasa wamejikuta wamepigika huku wengi wao wakishia kupata mlo mmoja kwa siku mlo waulao mpakani mwa mchana na usiku.

Tunashangaa makampuni kupunguza wafanyakazi,bado hizo ni rasharasha tu,mvua yenyewe itaanza pale "Sizonje" atakapoanza kupunguza idadi ya watanzania ili kubana matumizi.
Ha ha umenichekesha mlo wa mpaka ni mwa mchana na usiku unaliwa saa ngapi?
 
Nilikuwa na jumla ya wahudumu 42 ktk bar zangu ambazo ziko maeneo tofauti, mwezi wa 8 nilipunguza 20, na kwa jinsi hali inavyokwenda mwishoni mwa huu mwezi nitawapunguza 10 ili wabaki 12 tu, na hao 12 tumekubaliana mishahara Yao pia itapungua, sababu kuna amri ya mkuu wa mkoa ya kufungua saa 10 jioni na kufunga mwisho saa 6 usiku,

Kabla ya awamu hii ya Makonda mauzo yalikuwa ni wastani wa milioni 9 kwa Siku, sikuwa na matatizo na TRA, sasa hivi mauzo ni Kati ya laki 7 mpaka laki 9, sasa naona TRA ni kama hawaniamini. Nawaonea huruma hawa wahudumu, hata zile tip za soda hakuna! Nasubiri tu msimu huu wa sikukuu upite, nihamie Kenya, siwezi kuendelea kukisuburi kifo huku nakiona,
Kenya ni mahali salama kabisa kwa investment.
Uhakika 100% no usumbufu wa kijingajinga kama Tz.
Mimi ni mtz na nimeinvest Kenya naona tofauti
 
Back
Top Bottom