Kuja kuangalia ndugu na jamaa tu otherwise Tz si nchi ya kufanya biashara labda ufanye uwizi tuKwa jinsi hali inavyokwenda, Kama ikiendelea hivi mpaka January, nashauri wafanyabiashara wajipange, siyo lazima kufanya biashara Tanzania, kuna nchi majirani zetu ambazo mazingira ya kufanya biashara ni very friendly
Kenya, Uganda, Rwanda, Congo, Comoro, tena wanatuheshimu sana.hakuna haja ya kukomoana hapa, nchi ikishatulia kibiashara tutarejea, Home sweet home,