GONZZ EPACLEM
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 312
- 239
Habari wana jukwaa,
Ni mjadala huru kwa wafanya biashara wa dhahabu nchini, wakubwa kwa wadogo.
Ni kama swali hivi, kumekuwepo na kuporomoka kwa soko la dhahabu kwa kipindi cha takribani ya miezi miwili mfululizo na matumaini ya kupanda kwa dhahabu kwa mda mfupi ujao hayaonekani kiukweli, je nini chanzo cha kuporomoka namna hii kwa soko na kipi kifanyike kwa serikali kutusaidia wafanya biashara wa dhahabu kama ilivyo kwa wenzetu wa mazao ya kilimo?
Ni mjadala huru kwa wafanya biashara wa dhahabu nchini, wakubwa kwa wadogo.
Ni kama swali hivi, kumekuwepo na kuporomoka kwa soko la dhahabu kwa kipindi cha takribani ya miezi miwili mfululizo na matumaini ya kupanda kwa dhahabu kwa mda mfupi ujao hayaonekani kiukweli, je nini chanzo cha kuporomoka namna hii kwa soko na kipi kifanyike kwa serikali kutusaidia wafanya biashara wa dhahabu kama ilivyo kwa wenzetu wa mazao ya kilimo?