Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,741
- 861,143
- Thread starter
- #21
Nakubaliana na wewe kwa sehemu tuu kwakuwa nyingi zaweza kuwa excuse za kujihami tuu vyovyote iwavyo si sahihi mpaka sasa Mugabe kuwa rais as if hakuna mwingine yoyote anayeweza hiyo nafasiKweli nchi hizi tatu kuingizwa kwenye EAC ilikuwa ni pre-mature. Zingepewa observer status mpaka siweke viziri nyumba zao kwanza. Lakini sikubalinani na wewe kuhusu Zimbabwe. Kilichoiangusha Zimbabwe siyo siasa bali ni kutenda kinyume na matakwa ya mataifa makubwa, hasa walipotwaa mashamba ya wazungu. Vikwazo viliwekwa hili kuiadhibu serikali ya Mugabe na kuzipa somo nchi jirani za South Africa na Namibia ili ziepuke njia ya Zimbabwe. Mugabe alikataa kukiuka ahadi alizowapa wapigania uhuru wenzake za kurudisha ardhi iliyoporwa na wazungu kwa Wazimbabwe wazalendo. He has paid the price. But Zimbabwe will rise again. Pamberi ne Chimurenga.
Ishu ya mashamba kwanza hayakutolewa kwa usawa na kwa watu sahihi..mengi yaligawanywa kiushkaji kindugu kujuana na fadhila ndio maana mengi yaliishia kuwa mapori ...hakukuwa na maandalizi ya kutosha kuhusu hilo
Ngoja hii ishu ya Zimbabwe tuiweke kiporo kwanza