Superhuman 1995
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 1,506
- 2,452
- Thread starter
- #41
Anguko takatifu linakujaMkeka wa Sheikh Yahya unaweza kutiki
Anguko takatifu linakujaMkeka wa Sheikh Yahya unaweza kutiki
Kwa maana nyingine mkurugenzi,.. ni kwamba vikao vya Wilaya na Mkoa ni non-functional.....🤣🤣Wanakataa kuvitambua kama vikao vya CCM ngazi ya Wilaya na mkoa siyo vikao vya mchujo bali ni "MNADA WA UBUNGE"
Your current life is shaped by the things you consistently focus on.No man will be buried uncircumcised, as long as I am working in the mortuary.
Nitawakeketa naapa.
Cc: Intelligent businessman
Mwaka huu kazi ipoKwa maana nyingine mkurugenzi,.. ni kwamba vikao vya Wilaya na Mkoa ni non-functional.....🤣🤣
Yaani.... Ni kukabana koo kwelikweli...Mwaka huu kazi ipo
Anguko kubwa takatifu la kihistoria lipo njianiHahaha
Yes. Surely, and you?Your current life is shaped by the things you consistently focus on.
Not your parents. Not your upbringing. If you’re still pointing fingers at them, perhaps you’re just dodging a hard look at yourself.
Hisabati si ndio hivyo mkuu yaan Hesabu za Mathematics?Kila unachokiona ni calculated move, watu wanapiga hesabu kali sana za 2030. Watu wanachonga njia ili ikigika mseme huyu ndio anafaa si unakumbuka alifanya hivi na vile. Akili zipo kwenye usukani
Wanajua wenyewe mkuu, ila ninachokijua hawa jamaa wanjua kutengeneza mtu hata wa miaka 5+ kwa kutumia upepo uliopo. Watu washaudoma upepo, system iliyopo inawatema, kwahio wanapiga hesabu za mbaali sana, wanawaaminisha watu kuwa wao pia hawakubaliani na wanajitoa. Wanatengeneza hisia za kuaminika machoninpa watu. Sa badala wakose leo na kesho bora wakose leo ila kesho yao iwe safi. Kama wangekua sehemu ya maslahi usingewaona waona wako na misimamo walio nayo. Zinapigwa hisabati za kibabe sana, mixer kujilupua, ila zote ni smartly calculated moveHisabati si ndio hivyo mkuu yaan Hesabu za Mathematics?